Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: August 2024

  • Home
  • 2024
  • August
  • Page 6
Kimataifa

Hospitali ya Kyiv inatatizika kuhudumia wagonjwa huku kukiwa na mgomo wa anga – Masuala ya Ulimwenguni

August 31, 2024 Admin

“Kengele ilipolia, sote tulikimbizwa kwenye makazi,” alisema. “Hata watoto wadogo kutoka katika chumba cha wagonjwa mahututi waliangushwa na wauguzi na wasaidizi, ambao waliwabeba kwa upole

Read More
Habari

MAMA KOKA KUTUA KERO NA CHANGAMOTO ZINAZOIKUMBA SHULE YA MSINGI MKUZA

August 31, 2024 Admin

NA VICTOR MASANGU,KIBAHA  Mke wa Mbunge la Jimbo la Kibaha mjini Mama Selina Koka katika kuboresha sekta ya elimu ameahidi kuzivalia njuga   baadhi ya changamoto

Read More
Habari

Takukuru yaibuka na mpya chaguzi zilizopita

August 31, 2024 Admin

Mwanza. Utafiti uliofanywa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) nchini kwa kuchambua mfumo wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2019 na Uchaguzi

Read More
Habari

KAMATI YA BUNGE YATOA MAELEKEZO KWA TAKUKURU NA SEKRETARIETI YA AJIRA

August 31, 2024 Admin

Na. Veronica Mwafisi-Dodoma Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria Mhe. Florent Kyombo na Wajumbe wa Kamati hiyo wamezielekeza

Read More
Michezo

Youssouph Dabo apewa “THANK YOU”

August 31, 2024 Admin

Baada ya majadiliano makali kwenye kikao cha dharura, bodi ya Azam FC imefikia maamuzi ya kuliondoa benchi lote la ufundi chini ya kocha Yousouph Dabo.

Read More
Habari

TBS YATOA ELIMU YA KUDHIBITI SUMUKUVU URAMBO

August 31, 2024 Admin

Na Mwandishi Wetu, Urambo WANANCHI katika Halmashauri ya Wilaya Urambo mkoani Tabora wamepatiwa mafunzo kuhusiana na namna wanavyoweza kuepukana na sumukuvu kwenye mazao ya mahindi

Read More
Kimataifa

Naibu mkuu wa Umoja wa Mataifa atoa wito wa mshikamano wa kimataifa wakati machafuko yanapoendelea Afrika Mashariki – Masuala ya Ulimwenguni

August 31, 2024 Admin

Chad inawahifadhi zaidi ya wakimbizi milioni 1.1, wengi wao wakitoroka ghasia nchini Sudan, ambako wanamgambo hasimu wamekuwa wakipigana tangu Aprili 2023. Wakati huo huo, vita

Read More
Magazeti

Habari kubwa Magazetini Kenya leo August 31, 2024

August 31, 2024 Admin

Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania August 31, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma Magazetini kenya. The post

Read More
Habari

KAMPUNI YA SUKARI KILOMBERO YABORESHA ELIMU YA WASICHANA KWA KUCHANGIA TAULO ZA KIKE WILAYANI KILOMBERO

August 31, 2024 Admin

Katika jitihada kubwa za kuboresha elimu ya wasichana na kuongeza uelewa kuhusu hedhi salama, Kampuni ya Sukari Kilombero imetoa zaidi ya taulo za kike 2,400

Read More
Michezo

Fadlu: Leonel Ateba gari limewaka

August 31, 2024 Admin

KAMA ulikuwa unajiuliza maswali kuhusu kutokuonekana uwanjani kwa mshambuliaji mpya wa Simba Leonel Ateba basi majibu yamepatikana,baada ya kocha wake Fadlu Davids kusisitiza kuwa alikuwa

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 5 6 7 … 343 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.