Askofu Shoo kubadili Katiba, kubaki madarakani?

  DK. Frederick Shoo, Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Kaskazini yenye makao yake mjini Moshi, “huenda akabadili Katiba,” ili kuendelea kubaki madarakani. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Taarifa kutoka Moshi na Arusha zinasema, kuna uwezekano mkubwa wa Askofu Dk. Shoo, mkuu wa KKKT, Dayosisi ya Kaskazini, “akabadili Katiba,” ili kuendelea kuhudumu…

Read More

Baba aliyefungwa miaka 30 kwa kumbaka mwanaye aachiwa

Arusha. Mahakama ya Rufani imemuachia huru baba aliyehukumiwa kifungo cha miaka 30 jela kwa kumbaka mtoto wake. Baba huyo mkazi huyo wa Kijiji cha Lengurumo Wilaya ya Mwanga mkoani Kilimanjaro, alidaiwa kumbaka binti yake mwenye umri wa miaka 16, Septemba mosi, 2017. Rufaa hiyo ilitokana na uamuzi wa Mahakama Kuu Kanda ya Moshi uliotolewa Aprili…

Read More

WATOA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA TURIANI WATAKIWA KUFUATA SHERIA.

    Na. Ramadhani Kissimba, WF, Morogoro Watoa huduma ndogo za fedha katika tarafa ya Turiani Mkoani Morogoro wametakiwa kutoa huduma hizo kwa wananchi kwa kuzingatia sheria, kanuni na miongozo iliyowekwa na serikali. Akizungumza katika mfufulizo wa program ya kutoa elimu kwa umma kuhusu masuala ya fedha, Mwenyekiti wa Kitongoji cha Mtibwa kaika tarafa ya…

Read More

AACHA TABIA YA UKAHABA MARA BAADA YA KUPATA USHAURI

Sitapenda kutaja jina langu na mahali ninapotokea kutokana na aina ya simulizi yangu, kutokana na ugumu wa maisha nilijikuta nimeingia kwenye biashara ya ukahaba bila mimi mwenye kupenda, nilifanya kazi ile kishingo upande, ni vile tu sikuwa na jinsi. Kiukweli huko nilikumbana na changamoto nyingi, moja wapo ambayo ni kubwa zaidi ni kukamatwa na Polisi…

Read More

Benki ya Exim Tanznia yaja na Burudani yenye Lengo la Kuboresha Huduma za Afya ya Akili “EXIM BIMA FESTIVAL 2024” – MWANAHARAKATI MZALENDO

Mwezi Septemba, Benki ya Exim Tanzania inawakaribisha Watanzania wote na wadau mbalimbali kujumuika pamoja kwa ajili ya jambo muhimu na la kipekee; Afya ya Akili. Ikiwa inasherehekea miaka 27 ya kuwahudumia Watanzania tangu kuanzishwa kwake, benki ya Exim inakuja na Exim Bima Festival 2024, ikiwa na kaulimbiu ‘Amsha Matumaini’, ambayo itafanyika mnamo tarehe 28 Septemba…

Read More

Mwalimu jela miaka 30, viboko vinne kwa kubaka mwanafunzi

Mbeya. Mahakama ya Wilaya ya Kyela Mkoa wa Mbeya, imemhukumu kutumikia kifungo cha miaka 30 jela, Mwalimu wa Shule ya Msingi Ngeleka iliyopo Halmashauri ya Busokelo Wilaya ya Rungwe, Juma Mhanga (41) baada ya kupatikana na hatia ya kumbaka mwanafunzi mwenye umri wa miaka 13. Mbali na hukumu hiyo, Mhanga pia amehukumiwa kucharazwa viboko vinne…

Read More

Azam, Coastal muvi ziliisha mapema CAF

WAWAKILISHI wa Tanzania na visiwani Zanzibar katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika na Kombe la Shirikisho, timu za Azam FC, Coastal Union, JKU na Uhamiaji, wameaga kirahisi mashindano hayo makubwa katika michezo ya awali tu. Azam ilicheza Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya kumaliza katika nafasi ya pili kwenye Ligi Kuu Bara msimu uliopita…

Read More

Bodaboda zinavyoacha simanzi anguko la kiuchumi

Dar es Salaam. “Tangu mume wangu amefariki dunia, maisha yamekuwa magumu, mimi na Watoto wangu kula yetu Mungu ndiye anajua maana hatuna uhakika wa kesho yetu itakavyokua.” Ndivyo alivyoanza kusimulia Leticia Justine (si jina halisi) ambaye ni mama wa watoto wawili ambaye mume wake alifariki dunia mwaka 2020 kwa ajali ya kugongwa na gari akiwa…

Read More