WATENDAJI WA UBORESHAJI WA DAFTARI WATAKIWA KUTOA USHIRIKIANO KWA TUME NA WADAU

Mwenyekiti Wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Mhe.Jaji (Rufaa) Jacobs Mwambegele, akizungumza wakati akifungua mafunzo ya siku mbili kwa Waratibu wa Uandikishaji wa mkoa, Maafisa Waandikishaji, Maafisa Waandikishaji Wasaidizi ngazi ya Jimbo, Maafisa Uchaguzi, Maafisa Ugavi na Maafisa TEHAMA wa halmashauri yaliyoanza leo Agosti 26 hadi 27, 2024 Mkoani Mkoani Mara.Mwenyekiti Wa Tume…

Read More

RAIS MWINYI: CHINA IMESAIDIA SANA ZANZIBAR

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema China imekuwa ikiisaidia Zanzibar katika mambo mbalimbali ya maendeleo, ikiwemo ujenzi wa miundombinu ya hospitali. Rais Dk. Mwinyi Amesifu ukarabati mkubwa wa Hospitali ya Abdalla Mzee Pemba, utoaji wa mafunzo ya kuwajengea uwezo wafanyakazi wa sekta ya afya, msaada wa vifaa…

Read More

Urusi yaishambulia kwa droni na makombora Ukraine. – DW – 26.08.2024

Urusi imefanya mashambulizi makubwa ya droni na makombora dhidi ya Ukraine leo Jumatatu, yaliyolenga miundo mbinu ya nishati kote nchini humo. Takriban watu watatu wameripotiwa kuuwawa. Kwa upande mwingine serikali mjini Kiev imesema wanajeshi wa Belarus ambayo ni mshirika wa Urusi wako katika eneo la mpakani  na Ukraine.Soma Pia: Marekani yatahadharisha uwezekano wa mashambulizi ya…

Read More

Uchunguzi kesi ya kusafirisha mifupa, kucha za simba bado

Dar es Salaam. Serikali imesema bado inaendelea na uchunguzi katika kesi ya kusafirisha nyara za Serikali, ikiwemo mifupa 1,107 ya simba zenye jumla ya thamani ya Sh3.3bilioni, inayowakabili washtakiwa 12 wakiwemo waliokuwa wafanyakazi wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege (TAA). Wakili wa Serikali, Titus Aaron ameieleza hayo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, leo Jumatatu…

Read More

Prisons yakuna kichwa, yajipaga upya

MATOKEO ya sare mfululizo katika michezo miwili yameonekana kuwatibua Tanzania Prisons, huku wakiahidi kusahihisha makosa ili mechi zinazofuata wafanye kweli. Prisons imeanzia ugenini Ligi Kuu ikicheza mechi mbili dhidi ya Pamba Jiji na Mashujaa na haijaonja ushindi wowote wala bao la kuotea na kujikita nafasi ya nne kwa pointi mbili. Maafande hao wataendelea kubaki ugenini…

Read More

Mzuka wa Expanse Kasino| nazidi kunoga

  Meridianbet wanakuambia mzuka unazidi kunoga huku kwenye Expanse, promosheni, yenye kutoa Mamilioni kwa wachezaji wote. Jiunge na   Meridianbet kasino upate bonasi ya ukaribisho ya 300%. Kupitia shindano la michezo ya kasino ya mtandaoni kutoka Expanse zilizobakiza siku saba (07) tu , unaweza kujishindia hadi Tsh 4,750,000/= ikiwemo bonasi za kasino kibao. Kuna michezo…

Read More