
DCEA YATEKETEZA EKARI 1,165 ZA MASHAMBA YA BANGI MORO – MWANAHARAKATI MZALENDO
MAMLAKA ya kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) kwa kushirikiana na wananchi na vyombo vingine vya Ulinzi na Usalama imefanya operesheni maalum mkoani Morogoro kwa muda wa siku tisa katika vijiji vya Nyarutanga, Lujenge na Mafumbo vilivyopo wilaya za Morogoro vijijini na Kilosa. Katika vijiji vya mafumbo na Lujenge Mamlaka imeteketeza jumla ya…