Mechi nne tu Ken Gold mtaipenda

PAMOJA na kuanza Ligi Kuu kinyonge kwa kupoteza mchezo wa kwanza, Ken Gold imesema wanaoibeza timu hiyo wasubiri baada ya michezo minne wataikubali, huku ikieleza panapovuja. Ken Gold inashiriki ligi hiyo kwa mara ya kwanza na katika mchezo wa kwanza dhidi ya Singida Black Stars ilipopolewa mabao 3-1 ikiwa nyumbani uwanja wa Sokoine jijini hapa…

Read More

Moto unavyosababisha hasara Tanesco Simanjiro

Simanjiro. Shirika la umeme (Tanesco) Wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara, limelaani kitendo cha baadhi ya wakazi wa eneo hilo kuharibu miundombinu kwa kuchoma moto. Meneja wa Tanesco Wilaya ya Simanjiro, Sixmund Mosha ametoa kauli hiyo  leo Jumatatu Agosti 26, 2024  wakati akizungumzia uharibifu uliofanyika kwenye miundombinu yao. Mosha amesema suala la uchomaji moto limeathiri nguzo…

Read More

Maxime ajipa muda Dodoma Jiji

BAADA ya kuambulia pointi moja katika mechi mbili za Ligi Kuu, Kocha Mkuu wa Dodoma Jiji, Mecky Maxime amesema anaamini kikosi hicho kina mwelekeo mzuri na baada ya mechi chache kitaanza kupata matokeo ya kuridhisha na kuwatoa presha mashabiki wake. Dodoma ilifungua msimu wa 2024/2025 ugenini dhidi ya Mashujaa na kulala 1-0 mjini Kigoma kabla…

Read More

TARURA YATEKELEZA MIRADI YA KIMKAKATI MKOANI SIMIYU

Mradi wa ujenzi wa lami wa mita 800 pamoja na mitaro unaotekelezwa Wilayani Bariadi, Mkoani Simiyu, ambao unagharimu shilingi milioni 610. Mradi wa ujenzi wa daraja la mita 36 unaotekelezwa Wilayani Bariadi, Mkoani Simiyu, ambao umegharimu shilingi bilioni 1.1. Mradi wa ujenzi wa lami wa KM 5.2 unaojengwa kwa teknolojia mbadala katika Wilaya ya Itilima,…

Read More

Saba mbaroni kwa tuhuma za mauaji nyumbani kwa mganga

Dodoma. Jeshi la Polisi linawashilikilia watu saba kwa tuhuma za mauaji ya watu watatu waliofukuliwa nyumbani kwa mganga wa kienyeji mkoani Singida, Nkamba Kasubi. Mbali na hilo, miili miwili kati ya mitatu iliyofukuliwa nyumbani kwa mganga huyo, imetambulika kuwa ni ya  Samwaja Said na Gidion Mnyawi (53). Katika taarifa iliyotolewa leo Jumatatu Agosti 26, 2024…

Read More

Simba Queens twenzetu fainali | Mwanaspoti

WAWAKILISHI wa Tanzania kwenye michuano ya Klabu Bingwa kwa Nchi za Afrika Mashariki na Kati (Cecafa), Simba Queens inashuka tena uwanjani leo kuvaana na Kenya Police Bullets katika mechi ya nusu fainali ikiwa vita ya kusaka tiketi ya kucheza Klabu Bingwa Afrika kwa mara ya pili. Pambano hilo litapigwa kwenye Uwanja wa Abebe Bikila baada…

Read More

SERIKALI KUKUTANA NA WADAU KUJADILI HALI YA MAZINGIRA

  Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Dkt. Ashatu Kijaji akizungumza na waandishi wa habari leo Jijini Dar es Salaam kuhusu Mkutano wa kujadili tathimini ya hali ya mazingira nchini utakaofanyika Jijini Dodoma tarehe 9-10 Septemba, 2024. Mkurugenzi Msaidizi wa Mazingira na Mabadiliko ya tabianchi kutoka Ofisi ya Makamu wa…

Read More