Fadlu: Simba hii bado kidogo tu

SIMBA imeendelea kukaa kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu na alama sita baada ya juzi kuishushia kichapo cha mabao 4-0 Fountain Gate huku mastaa wapya kikosini hapo akiwemo Charles Ahoua wakionyesha kiwango bora lakini kocha mkuu wa Wanamaimbazi hao, Msauzi Fadlu Davies amesema bado hajapata kile anachokitaka kwa asilimia mia. Akizungumza na Mwanaspoti, Fadlu amesema…

Read More

DC TEMEKE AWAFYATUKIA WATENDAJI WA MITAA “MNAWEZA MSIIONE PEPO” – MWANAHARAKATI MZALENDO

    Mkuu wa wilaya ya Temeke Sixtus Mapunda ametoa maelekezo kwa mabalozi wa mitaa kutojihusisha na shughuli za uuzaji viwanja kwa Sababu zimekuwa ni kichocheo cha migogoro kwenye maeneo yao. DC Mapunda ametoa agizo hilo wakati akizungumza na Wananchi wa Toangoma, kupitia mkutano wa hadhara uliolenga kusikiliza na Kutatua Kero zao mbalimbali. “Haiwezekani manispaa…

Read More

Polisi yawashikilia watatu akiwemo mtoto anayedaiwa kuiba watoto sita

Dar es Salaam. Jeshi la Polisi linawashikilia watu wawili waliosikika wakimhoji mtoto aliyejitambulisha kwa jina la Evaristo katika moja ya picha jongefu zilizosambaa katika mitandao ya kijamii. Pia, jeshi hilo limesema linamshikilia mtoto huyo na kuendelea na uchunguzi wa maelezo yaliyozungumzwa naye katika kipande hicho cha video akijinasibu kwa wizi wa watoto. Katika kipande hicho…

Read More

Mwenyekiti UWT Njombe Dkt.Scolastika Kevela atoa msaada wa kiti mwendo kwa mhitaji wilayani Wanging’ombe

Mwenyekiti wa Jumuiya ya umoja wa wanawake wa Chama cha Mapinduzi (UWT) Mkoa wa Njombe Dkt.Scolastika Kevela ametoa msaada wa kiti mwendo kwa mhitaji Happy Mtewa mzaliwa wa Malangali wilayani Wanging’ombe ili kuweza kumsaidia kupunguza changamoto ikiwemo kutembea anapohitaji kufika maeneo mbalimbali wakati wa ujasiriamali wake. Akizungumza mara baada ya kupokea kiti hicho wakati wa…

Read More