Afua za Haraka Zinahitajika kwa Watoto Wakimbizi wa Sudan Inapohitaji Mwitikio wa Nje – Masuala ya Ulimwenguni

Watoto hawa wakimbizi wa Sudan ni miongoni mwa wakimbizi 748,000 na wanaotafuta hifadhi ambao wametafuta hifadhi nchini Misri. Mkopo: ECW na Joyce Chimbi (cairo na nairobi) Jumatatu, Agosti 26, 2024 Inter Press Service CAIRO & NAIROBI, Agosti 26 (IPS) – Wakati amani inapokosekana Sudan inayokumbwa na vita, maelfu ya watu waliokimbia makazi yao wanaokimbia vita…

Read More

Wazazi ongezeni ulinzi kwa watoto wenu

Uwepo wa ongezeko la mmonyoko wa maadili vitendo vya ukatili pamoja na unyanyasaji kwa watoto umetajwa kusababishwa na baadhi ya wazazi kushindwa Kuishi na watoto badala yake kuwaachia wasichana wa kazi jali ambayo imesababisha watoto wengi kukosa Malezi yaliyo bora. Wito huo umetolewa na diwani kata ya Mji Mpya Mhe. Emmy Kila katika kuhitimisha mashindano…

Read More

SIMBA AMJERUHI MWENYEKITI WA KIJIJI – MWANAHARAKATI MZALENDO

    Mwenyekiti wa kijiji cha Amani kilichopo katika Kata ya Mundindi Wilayani Ludewa Mkoani Njombe Issa Luoga amenusurika kuuwawa wakati akipambana na mnyama Simba wakati wakimsaka baada ya kugundua ameingia kijijini hapo.       Akizungumza akiwa katika hospitali ya kanisa Katoliki iliyopo Kata ya jirani Lugarawa, mwenyekiti huyo amesema katika kumsaka Simba huyo…

Read More

NBC YAING’ARISHA KIZIMKAZI FESTVAL – MWANAHARAKATI MZALENDO

Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) ambao ni wadhamini wakuu wa ligi kuu ya NBC Tanzania Bara, imeligusa Tamasha la Kizimkazi Zanzibar kwa kuandaa matukio ya michezo, burudani na utalii. Miongoni mwa matukio iliyoandaa kwa kushirikiana na Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL), ni ‘Bongo and Zenji Flavour Night’ lililofanyika Paje, likimuhusisha pia Rais wa Tanzania,…

Read More