'Ulimwengu unahitaji uongozi wako', Guterres aliambia Jukwaa la Visiwa vya Pasifiki – Masuala ya Ulimwenguni

Katibu Mkuu Antonio Guterres alikuwa akihutubia ufunguzi wa Kongamano la Visiwa vya Pasifiki huko Tonga, akiwaambia viongozi kwamba ingawa sehemu kubwa ya dunia imekumbwa na migogoro, ukosefu wa haki na mgogoro wa kijamii na kiuchumi, Pasifiki “ni mwanga wa mshikamano na nguvu, utunzaji wa mazingira na amani.” Jukwaa linajumuisha Nchi 18 Wanachama, kutoka Australia hadi…

Read More

RAIS MWINYI AWAAPISHA MAKATIBU WAKUU WAPYA – MWANAHARAKATI MZALENDO

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk.Hussein Ali Mwinyi amewaapisha Makatibu Wakuu wa Wizara mbalimbali aliowateua hivi karibuni iliyofanyika  Ikulu Zanzibar tarehe: 24 Agosti 2024. Walioapishwa kuwa Makatibu Wakuu: 1.Dkt.Habiba Hassan Omar ameapishwa kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi . 2.Dkt.Mngereza Mzee Miraj ameapishwa kuwa Katibu Mkuu…

Read More

Gamondi ashtukia ishu nzito, atangaza vita mpya

KOCHA wa Yanga Miguel Gamondi  amesema matokeo ya ushindi wa jumla wa mabao 10-0 iliyopata timu hiyo kwake yameshapita na sasa akili zake ni kwenye mechi mbili za raundi ya pili dhidi ya CBE ya Ethiopita akiitangazia vita kwa lengo la kutaka kuvunja mwiko ulioitesa vijana wa Jangwani. Yanga imekuwa na rekodi mbovu dhidi ya…

Read More