Serikali kushusha kocha timu ya taifa ya Golf kwa wanawake

Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro amesema Serikali imepanga kuleta kocha wa kigeni kwa ajili ya kuifundisha timu ya Taifa ya Gofu ya wanawake.   Mhe. Ndumbaro amesema hayo Agosti 24, 2024 Jijini Dar Es Salaam wakati alkifunga Mashindano ya Kimataifa ya NCBA Golf Series ambapo amebainisha kuwa kocha huyo atagharamiwa…

Read More

Simulizi watoto waliokufa maji Rorya, Samia atuma rambirambi

Rorya. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ametoa jumla ya Sh30 milioni kama rambirambi kwa familia zilizopoteza watoto sita kwenye bwawa la skimu ya umwagiliaji katika kijiji cha Ochuna wilayani Rorya, huku mashuhuda wakisimulia kilichotokea. Watoto hao wa kike walifariki dunia jana Agosti 24, 2024 jioni baada ya kuzama na kunasa…

Read More

Video: Familia yamwachia Mungu, mwanamke aliyeuawa kikatili

Dar es Salaam. Wakati vilio na simanzi vikitawala kwenye mazishi ya Ezenia Kamana (36), mkazi wa Tandika Maghorofani, familia yake imesema imemuachia Mungu na imetangaza kutoweka matanga, lakini imewakaribisha watu wanaotaka kuifariji. Ezenia amezikwa katika makaburi ya Kinondoni jijini Dar es Salaam, akiacha watoto watatu, mmoja wa kiume na wawili wa kike. Kabla ya kifo…

Read More

ACT- Wazalendo yajifungia kujadili utekaji, sakata la Ngorongoro

Dar es Salaam. Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama cha ACT-Wazalendo wanakutana kwa siku mbili kujadili masuala mbalimbali ya kitaifa, ikiwamo migogoro ya ardhi, matukio ya utekaji na matishio ya usalama yanayoendelea kuripotiwa katika maeneo tofauti nchini. Mbali na hayo, kikao hicho ambacho kimeelezwa kuwa cha kawaida kikatiba, wajumbe pia watajadili mikakati endelevu ya ujenzi…

Read More

Miili mingine yafukuliwa kwa mganga, ulinzi waimarishwa

Singida. Baada ya kuzuka kwa taharuki ya miili mingine kufukuliwa katika nyumba ya mganga wa kienyeji mkoani Singida, Jeshi la Polisi mkoani humo limeimarisha ulinzi katika eneo hilo, huku miili hiyo ikifikia mitatu. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Singida, Amon Kakwale alieleza hayo leo Jumapili Agosti 25, 2024 alipozungumza na wananchi, akisema eneo hilo litakuwa…

Read More

Chama ashtua!… Wadau wafunguka | Mwanaspoti

MASHABIKI wa Simba wamepata mshtuko. Hii ni baada ya mpira mkubwa alioupiga Clatous Chama katika mechi mbili za raundi ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika akiwa na kikosi cha Yanga. Awali mashabiki hao na baadhi wa klabu ya Yanga walikuwa wakiuponda usajili ya kiungo mshambuliaji huyo kutua Jangwani. Walikuwa wakidai ni mzee na aliyepitwa…

Read More

Tume yawaomba wadau wa Uchaguzi kuwa mabalozi wazuri

Mjumbe wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi Mhe.Balozi Omar Mapuri amewaomba wadau wa Uchaguzi kuwa Mabalozi wazuri wa kufikisha taarifa na kuwahamasisha wananchi kujitokeza katika kujiandikisha katika Daftari la Kudumu la Wapiga Kura. Wito huo umetolewa na Mhe.Balozi Mapuri wakati akifunga Mkutano wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi na wadau wa Uchaguzi uliofanyika…

Read More

SAID JR Aeleze kilichomwondoa Serbia

NYOTA wengi wanaokipiga nje ya nchi wanatajwa kupita katika timu kubwa za Kariakoo, Yanga na Simba na wachache sana wametokea kwenye timu za kawaida au wameanzia huko na kucheza soka la kulipwa. Mmmoja wao ni Said Khamis na amezunguka timu mbalimbali duniani kucheza soka akitamba eneo la ushambuliaji na aliwahi kupita Mbao FC kwa msimu…

Read More