Dora wa Jua Kali yeye na Pacome tu!

MSANII nyota wa filamu nchini anayetamba kwenye tamthilia ya Jua Kali, Wanswekula Zacharia ‘Dora’ humwambii kitu kuhusiana na kiungo mshambuliaji wa Yanga, Pacome Zouzoua anayemkosha kutokana na aina yake ya uchezaji uwanjani. Dora akijibu swali aliloulizwa na Mwanaspoti wakati akiwa live katika mtandao wa TikTok juu ya mchezaji gani Tanzania anakubali uchezaji wake, ndipo alipomtaja…

Read More

Kwa Simba hii kuna jambo! wapo kila kona

LIGI Kuu Bara imesimama hadi Septemba 11, huku zikishuhudiwa mechi 13 zikipigwa na kufungwa jumla ya mabao 22, ilihali Simba ikitawala kila kona, japo timu sita zimesaliwa na viporo vya mechi moja moja kukamilisha michezo ya raundi ya pili ya ligi hiyo. Ligi hiyo inasimama ikiwa raundi ya pili ili kupisha mechi za kimataifa kwa…

Read More

Mastaa JKT Tanzania waanza upya

WACHEZAJI wa JKT Tanzania baada ya kupata suluhu mechi ya kwanza dhidi ya Azam FC iliyopigwa Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo, wamejua kipi wakifanye ili waanze kuvuna pointi tatu michezo ijayo. Nahodha wa timu hiyo, Edward Songo alisema haikuwa kazi rahisi katika mechi hiyo, kwani kila timu ilipania kuanza na ushindi, hivyo michezo iliyopo mbele…

Read More

Goran Kopunovic apewa tatu Pamba

MWENYEKITI wa Pamba Jiji, Bhiku Kotecha amesema bado wana imani kubwa na benchi la ufundi na wachezaji na hawawezi kukurupuka kufanya mabadiliko ya haraka kwa kuzingatia matokeo ya mechi mbili za Ligi Kuu, huku akiahidi mambo mazuri. Pamba inakamata nafasi ya sita katika Ligi Kuu ikiwa na alama mbili baada ya kutoka suluhu dhidi ya…

Read More

Katika vita vya maendeleo 'unaweza kututegemea', Guterres anaiambia Timor-Leste, kuadhimisha miaka 25 ya kujitawala – Masuala ya Ulimwenguni

Katika hali ya kushangaza, wabunge walimfanya mkuu huyo wa Umoja wa Mataifa kuwa raia wa heshima wa taifa lao la visiwa vya kusini mashariki mwa Asia wakati wa sherehe katika mji mkuu Dili, na kumfanya mkuu huyo wa Umoja wa Mataifa kutangaza kuwa anajivunia sasa kuwa sehemu ya “watu mashujaa”. Nini wakati huo mapambano ya…

Read More

Mgogoro wa Kibinadamu Huku Mafuriko, Mvua Kubwa ya Muda Mrefu Yaathiri Chad – Masuala ya Ulimwenguni

Naibu Katibu Mkuu Amina Mohammed akutana na Fatime Boukar Kossei, Waziri wa Hatua za Kijamii, Mshikamano wa Kitaifa na Masuala ya Kibinadamu wa Jamhuri ya Chad kujadili mgogoro unaoendelea wa kibinadamu ambao umechochewa na mvua kubwa. Credit: Loey Felipe/UN Photo na Oritro Karim (umoja wa mataifa) Ijumaa, Agosti 30, 2024 Inter Press Service UMOJA WA…

Read More