Wasomi wafagilia utekelezaji wa mradi wa EACOP

WASOMI na wataalamu mbalimbali nchini wameelezea kuvutiwa kwao na utekelezaji wa mradi wa bomba la mafuta ghafi la Afrika ya Mashariki (EACOP) wakisema umekidhi vigezo vyote vinavyotakiwa kimataifa. Anaripoti Mwandishi Wetu, Morogoro … (endelea). Wakizungumza kwa nyakati tofauti, wasomi hao wamesema utekelezaji mradi wa bomba la kusafirisha mafuta ghafi kutoka Hoima nchini Uganda hadi Chongoleani…

Read More

Wananchi Rombo waomba elimu, kinga dhidi ya Mpox

Rombo. Wananchi waliopo mpakani mwa nchi jirani ya Kenya na Tanzania, katika mipaka ya Holili na Tarakea, iliyopo Wilaya ya Rombo, mkoani Kilimanjaro wameiomba Serikali kutoa elimu ya afya dhidi ya kujikinga na mlipuko wa ugonjwa wa homa ya nyani, maarufu Mpox unaosambaa kwa kasi katika mataifa mbalimbali duniani. Wakizungumza kwa nyakati tofauti wananchi hao,…

Read More

Madina kinara tena Uganda, Tanzania yang’ara

WAGANDA wataendelea kumuota Mtanzania Madina Idd katika viwanja vyao vya gofu vilivyopo katika miji ya Kampala na Entebbe baada ya Mtanzania huyu shupavu kuviteka vyote katika kipindi cha siku saba tu. Madina ameibuka mshindi wa jumla wa michuano ya wazi ya wanawake nchini Uganda yajulikannayo kama John Walker akimshinda Mtanzania mwenzake Hawa Wanyeche kwa mikwaju…

Read More

NFRA yaja na mkakati wa kuongeza uwezo wa kuhifadhi nafaka

  MKURUGENZI Mkuu wa Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA), Dk. Andrew Komba amesema taasisi hiyo imejipanga kuongeza uwezo wa maghala kuhifadhi nafaka kati ya tani 700,000 na milioni moja ifikapo juni, 2025. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea). Amesema mpango huo unakwenda sambamba na utekelezaji wa malengo malengo ya kuzitanua zaidi shughuli…

Read More

Anayedaiwa kumuua Angela mikononi mwa Polisi

Dar es Salaam. Jeshi la Polisi linamshikilia mtu mmoja Jackson Magoti (34) kwa tuhuma za kufanya mauaji ya Angela Joseph (23) mkazi wa Michese jijini Dodoma chanzo kikiwa ni wivu wa mapenzi. Tukio hili liliripotiwa na Mwananchi Agosti 9 mwaka huu na mama mzazi wa marehemu Angela, Mary Msuya ambapo alisema alipata hofu juu ya…

Read More

Azam FC itafute sababu za kuboronga Afrika

WAKATI mashabiki wa Yanga wakimaliza mapumziko ya mwishoni mwa wiki kwa furaha, wale wa Azam na hasa wadau watakuwa wanakuna kichwa kwa huzuni baada ya timu hiyo, iliyokusanya wachezaji nyota kutoka pembe kadhaa za Afrika na barani Amerika Kusini, kushindwa tena kufurukuta michuano ya Afrika. Azam, klabu inayomilikiwa na mmoja wa matajiri wakubwa nchini na…

Read More

Meridianbet inatoa pesa leo bashiri sasa

  Suka jamvi lako leo kwani kuna mechi kibao za ushindi ligi mbalimbali zinaendelea Jumapili hii. Atalanta, Bayern, Newcastle wote wapo dimbani kwaajili ya kukupa pesa. Ingia na ubeti sasa. Ligi kuu ya Uingereza EPL leo hii Wolves atamualika kwake Chelsea ambayo imetoka kupoteza mchezo wake wa kwanza nyumbani. Mechi ya mwisho kuonana The Blues…

Read More

Mnzava: Shughuli za kibinadamu zinaathiri upatikanaji wa maji

Mbeya. Kiongozi wa mbio za Mwenge wa uhuru kitaifa, Godfrey Mnzava amekemea tabia ya baadhi ya wananchi kufanya shughuli za kijamii kwenye vyanzo vya maji, kwani huviathiri. Pia aliwataka  wananchi kuvitunza ili kuisaidia Serikali kutotumia gharama kubwa kuvirejesha. Mnzava ameyasema hayo leo Jumapili, Agosti 25, 2024 wakati akiweka jiwe la msingi mradi wa maji wa…

Read More