Yanga imefuzu, ila ina kibarua

YANGA imetinga kibabe hatua ya kwanza ya mtoano wa Ligi ya Mabingwa Afrika, baada ya kuwang’oa Vital’O ya Burundi kwa jumla ya mabao 10-0. Matokeo hayo yanaifanya Yanga kwenda kukutana na  CBE ya Ethiopia ambayo nayo imewatupa nje ya mashindano SC Villa ya Uganda kwa jumla ya mabao 3-2. CBE ilishinda ugenini kwa mabao 2-1…

Read More

Rais Samia mgeni rasmi kikao kazi watendaji wakuu wa taasisi

Arusha.  Rais Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika kikao kazi cha wenyeviti wa bodi na watendaji wakuu wa taasisi za umma, kitakachofanyika mkoani Arusha. Akizungumza na waandishi wa habari leo Jumapili Agosti 25,2024, Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda amesema kikao kazi hicho kitakachofanyika katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Arusha…

Read More

Watakaofiwa na wazazi shule ya Brilliant kuendelea na masomo

Na Mwandishi Wetu Mbunge wa Bukoba Vijijini (CCM), Dk. Jasson Rweikzia, ametangaza kwamba kwenye mtandao wa shule za St Anne Marie Academy unaominilikia pia shule ya Brilliant ya Kimara Mbezi kwa Msuguri jijini Dar es Salaam, hakuna mwanafunzi atakayefukuzwa shule baada ya wazazi wake kufariki na kushindwa kulipa ada ya kuendelea na masomo. Alitangaza uamuzi…

Read More

Katika Kongamano la Wanawake Duniani, naibu mkuu wa Umoja wa Mataifa anahimiza kuchukuliwa hatua kuhusu usawa wa kijinsia – Masuala ya Ulimwenguni

Uliofanyika tarehe 22-23 Agosti chini ya mada Kuelekea mustakabali wa KijaniJukwaa lililenga katika kuendeleza Malengo ya Maendeleo Endelevu (SDGs), hasa zile zinazosisitiza usawa wa kijinsia. Akizungumza siku ya Alhamisi, Naibu Katibu Mkuu Amina J. Mohammed alisisitiza udharura wa kuharakisha maendeleo kwenye SDGs, kwani tarehe ya mwisho ni chini ya miaka sita. Alisisitiza kwamba uongozi wa…

Read More

Mzuka mbio za magari sasa wahamia Iringa

MSISIMKO na mzuka wa mbio za magari umeanza  tena  baada ya klabu ya Mbio za Magari Iringa, IMSC,  kuthibitisha uenyeji wa raundi ya pili ya mbio za ubingwa wa taifa katikati ya mwezi ujao. Kwa mujibu wa kalenda ya chombo kinachosimamia mchezo wa mbio za magari nchini(AAT), mkoa wa Iringa utakuwa mwenyeji wa raundi ya…

Read More

MALIZA WIKENDI YAKO UKIBETI NA MERIDIANBET

JE unajua kuwa siku yako ya Jumapili itakuwa vyema sana endapo utasuka jamvi lako hapa. Chelsea, Bayern, Npaoli wote wapo dimbani kwaajili ya kukupa pesa. Ingia na ubeti sasa. Ligi kuu ya Uingereza EPL leo hii Wolves atamualika kwake Chelsea ambayo imetoka kupoteza mchezo wake wa kwanza nyumbani. Mechi ya mwisho kuonana The Blues walipoteza…

Read More

Wageni waanza na gia kubwa

LIGI Kuu Bara imeanza kwa kusuasua kwa timu nyingi kutoka sare, lakini mastaa wa kigeni wameanza na kasi kwa kufumania mabao wakiwafunika wazawa. Kabla ya mechi mbili za jana, tayari ilishapigwa michezo saba na kushuhudiwa jumla ya mabao tisa tu yakiwa yametinga wavuni, ikiwa ni idadi ndogo kulinganisha na misimu ya 2022-2023 na 2023-2024 kwa…

Read More

…Samia ampa tano | Mwanaspoti

RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amewapongeza wachezaji wa gofu wa kike wa Tanzania kwa kuendelea kuipeperusha vyema bendera ya nchi nje ya mipaka yake huku akiahidi kuleta kocha wa kigeni kwa ajili ya kuifundisha timu ya Taifa. Hayo yalisemwa na Waziri wa Utamaduni Sanaa na Michezo Damas Ndumbaro kufuatia mchezaji nyota wa Tanzania, Madina…

Read More

Alazimika kuacha shule awatunze wadogo zake

Njombe. Mkazi wa Kijiji cha Ugabwa kilichopo wilayani Makete Mkoa wa Njombe, Sarah Chaula (17) amelazimika kuacha masomo ili awatunze wadogo zake wawili alioachiwa na wazazi wake  walioondoka nyumbani kwa nyakati na sababu tofauti. Awali baba wa familia ndiye anayedaiwa kutangulia kuondoka nyumbani hapo baada ya kutofautiana na mama wa familia hiyo,  baadaye mama naye…

Read More