TODD: Ule usajili Chelsea, pesa zinatoka huku

LONDON, ENGLAND: CHELSEA inazidi kushusha watu. Usajili kwao wameufanya jambo jepesi sana. Hawamuachi mchezaji wanaomtaka na hadi sasa inafikia idadi ya wachezaji 40 kwenye kikosi hicho. Wapo 18 waliosajiliwa hadi sasa, huku tisa ikiwa ni kwa kulipa ada na tisa wengine wakiwa ni usajili huru. Bosi wa miamba hiyo wa Jiji la London, Toddy Boehly…

Read More

TEA NA EATV WAFANYA MATEMBEZI KUHAMASISHA KAMPENI YA NAMTHAMINI

MAMLAKA ya Elimu Tanzania(TEA) kwa kushirikiana na Kituo cha utangazaji EATV leo tarehe 25 Agosti 2024 wameongoza matembezi ya hisani kwa ajili kuhamasisha umma kushiriki katika kampeni ya Namthamini inayolenga kuweka mazingira rafiki kwa wanafunzi wa kike mashuleni. Matembezi hayo yameanzia Makao Makuu ya EATV Dar es Salaam na kupita maeneo ya Bamaga, Sayansi, Makumbusho…

Read More

Rais Samia ataka CHAN ipigwe Samia Suluhu Sports

Rais Samia Suluhu Hassan ameagiza Uwanja wa Samia Suluhu Sports Academy kukamilika Januari 2025 badala ya Aprili ili uweze kutumika katika Mashindano ya Mataifa ya Afrika kwa Wachezaji wa Ligi za Ndani (CHAN) inapigwa katika uwanja huo. “Tarehe 22, niliweka jiwe la msingi la ujenzi wa Suluhu Sports Academy unaotarajiwa kukamilika kwa ratiba Aprili 2025,…

Read More

Mashindano ya Kitesurfing kuvutia utalii wa michezo Zanzibar

Zanzibar. Katibu Mkuu Wizara ya Utalii na Mambo ya Kale wa Zanzibar, Dk Aboud Jumbe amesema mashindano ya Kitesurfing yanatarajia kuwa chachu ya kukuza utalii wa michezo visiwani humo. Dk Jumbe ameyasema hayo Jumamosi Agosti 24, 2024 akihutubia katika mashindano ya ‘Zanzibar Cup Kusi 2024’ yaliyofanyika Kiwengwa visiwani humo huku yakihudhuriwa na washiriki kutoka nchi…

Read More

Arusha mabingwa wapya riadha Taifa

MKOA wa Arusha umeibuka kinara mpya wa riadha taifa baada ya kutwaa medali 21, dhahabu zikiwa 10, fedha tano na shaba sita. Mshindi wa pili kwenye mashindano hayo yaliyofungwa juzi usiku ni mkoa wa Mjini Magharibi wa Zanzibar uliotwaa medali 13, dhahabu zikiwa saba, fedha na shaba tatu tatu. Mkoa wa Pwani umehitimisha tatu bora…

Read More

MPox yawa tishio duniani, panya wahusishwa

Dar es Salaam. Wataalamu wa uchunguzi wa virusi na vimelea vya magonjwa wamebaini chanzo cha virusi vya homa ya nyani, maarufu ‘Mpox’ ni panya wa msituni na si nyani. Taarifa hizo zinatolewa baada ya miaka mingi kuaminika kuwa chanzo pekee cha homa hiyo ni nyani wanaopatikana Afrika ya Kati na Magharibi. Aina mpya ya homa…

Read More