Katikati ya Pacome, nawa-misi kina Gaga

MIAKA inaenda kwa kasi sana. Na asikuambie mtu, kuna wakati mtu unaweza kukufuru kwa jinsi maisha ya hapa duniani yanavyotatiza. Maisha yanakatisha tamaa mno. Yaani kama sio kuumbwa kwa sahau, walahi hakuna ambaye angeweza kufanya jambo lolote la maana. We fikiria tu, mtu unasoma au kujilimbikizia mali kwa kujenga majumba, kununua magari ama kuzaa watoto…

Read More

Machozi na kukumbatiana huku ugomvi wa kifamilia wa miaka 30 ukikamilika nchini Ufilipino – Masuala ya Ulimwenguni

Kwa miaka mingi, sehemu ya magharibi ya Mindanao imekuwa kitovu cha mapambano ya kujitenga kwa silaha kati ya serikali ya Ufilipino na makundi mbalimbali ya waasi ya Kiislamu. Mnamo mwaka wa 2019, Mkoa unaojiendesha wa Bangsamoro huko Muslim Mindanao (BARMM) ulianzishwa kama sehemu ya makubaliano ya amani kati ya serikali na harakati kuu ya waasi,…

Read More

Mke, mtalaka wanusurika kifo, mauaji ya mume mpya

Arusha. Mahakama ya Rufani iliyoketi Tabora, imewaachia huru Akizimana Buchengeza na Perajia Mawenayo (watalaka) waliohukumiwa adhabu ya kifo, kwa kumuua Augustino Ndisabila (mume mpya wa Perajia) na kumkata uume wake. Ilidaiwa mahakamani hapo kuwa warufani hao walikuwa mke na mume zamani, ila walitengana. Pia ilielezwa kuwa Perajia na Augustino (marehemu) kabla ya kutengana, walikuwa na…

Read More

Yanga kumuuza Mzize, yataja thamani yake hadharani

KAMA kuna klabu inampigia hesabu straika chipukizi wa Yanga, Clement Mzize, basi inapaswa kukaa chini na kujipanga kwelikweli, baada ya mabosi wa klabu hiyo kutangaza rasmi bei ya mchezaji huyo. Yaani kama klabu ina fedha za mawazo, isifikirie kabisa kumng’oa mchezaji huyo klabuni hapo kwa sasa. Mabosi wa Yanga wamesema klabu inayotaka Mzize kwa sasa…

Read More

SOMALIA YATISHIA KUSITISHA SAFARI ZA NDEGE ZA ETHIOPIAN AIRLINE – MWANAHARAKATI MZALENDO

    Somalia imetishia kusitisha safari zote za Ndege za Ethiopian Airlines kuelekea katika ardhi yake kutokana na mzozo unaoendelea. Mamlaka ya Usafiri wa Anga ya Somalia (SCAA) ilitangaza mnamo Agosti 21, 2024, kwamba Shirika la Ndege limeshindwa kujibu masuala yanayohusiana na uhuru wa Somalia. Mzozo huo uliongezeka baada ya Ethiopia kutia saini makubaliano mnamo…

Read More

Ouma, Coastal saa zinahesabika | Mwanaspoti

COASTAL Union iko katika mazungumzo ya mwisho ya kuachana na kocha mkuu, David Ouma kwa kile kinachoelezwa viongozi hawaridhishwi na mwenendo wa matokeo inayoyapata. Taarifa za ndani zilizonazwa na Mwanaspoti zinaeleza kwamba, Coastal baada ya kuchapwa mabao 3-0 na Bravos do Maquis ya Angola katika mchezo wa awali wa Kombe la Shirikisho Afrika, ilimtaka Ouma…

Read More