Skip to content

HabariMpya

Habari za Kitaifa

Random News
  • Privacy Policy
Headlines
  • Mashabiki Wapagawa Na Ngoma Mpya Ya Diamond Platnumz – Video – Global Publishers

    16 minutes ago
  • Wanafunzi Rombo watengeneza mfumo wa upigaji kura kidijitali

    54 minutes ago
  • INEC yafuta kata kumi, yatengua wagombea udiwani saba

    58 minutes ago
  • Askari Polisi auawa Arusha akidhaniwa mwizi

    1 hour ago
  • Sababu Kanisa Katoliki Kenya kubadilisha divai

    1 hour ago
  • Wadau wapigia chapuo mageuzi ya elimu kuongoza Dira ya 2050

    2 hours ago
  • Home
  • 2024
  • August
  • Page 75

August 2024

  • Habari

Hatari utamaduni wa ‘ndugu’ kujamiiana ukianza kuota mizizi

Admin1 year ago013 mins

Kwa mzazi inaweza isikuingie akilini kwamba watoto wako unaoishi nao nyumba moja wanaweza kuwa na uhusiano wa kimapenzi, ila ukweli uko hivyo, yapo matukio mengi ya aina hiyo ambayo yanaendelea kushika kasi kwenye jamii. Hii inahusisha ndugu wa damu, ndugu wa familia au ukoo na hata baba na mtoto ambayo kwa tamaduni zetu wanaitwa maharimu….

Read More
  • Magazeti

Habari kubwa Magazetini Kenya leo August 25, 2024

Admin1 year ago01 mins

Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania August 25, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma Magazetini kenya. 6 The post Habari kubwa Magazetini Kenya leo August 25, 2024 first appeared on Millard Ayo.

Read More
  • Kimataifa

Wanafunzi wa New York wanaanza na jukumu la kuwa 'PGA kwa Siku' – Masuala ya Ulimwenguni

Admin1 year ago07 mins

Hii ni moja tu ya mikutano mingi ambayo vijana wawili wa New York walichukua, kama sehemu ya orodha ndefu ya kufanya ambayo inajumuisha siku ya Rais wa Bunge. Dhana ya kuwa PGA kwa Siku ni rahisi: wanafunzi wawili kutoka kwa mfumo wa shule za umma wanakuja kwenye Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa ili kumtia…

Read More
  • Habari

KENYA YATHIBITISHA KESI YA PILI YA UGONJWA WA MPOX – MWANAHARAKATI MZALENDO

Admin1 year ago01 mins

    Wizara ya Afya ya Kenya imethibitisha kesi ya pili nchini humo ya Ugonjwa hatari wa Mpox ambao zamani ulijulikana kama homa ya Nyani. Wagonjwa wote wawili wametajwa kuwa ni Wanaume, Madereva wa Malori waliotokea Congo DRC. Hivi karibuni, kituo cha kuzuia na kudhibiti magonjwa barani Afrika (CDC), kiliutangaza mlipuko wa Mpox kuwa ni…

Read More
  • Magazeti

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 25, 2024

Admin1 year ago01 mins

Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam August 25, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma za Magazeti ya Tanzania. The post Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 25, 2024 first appeared on Millard Ayo.

Read More
  • Habari

RAIS SAMIA AAHIDI NEEMA JWTZ – MWANAHARAKATI MZALENDO

Admin1 year ago01 mins

    Rais na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Samia Suluhu Hassan amesema atasimamia shabaha ya kuwa na Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) madhubuti na lenye maofisa na askari wenye weledi, ari na zana bora.   Aliyasema hayo wakati akifunga zoezi la Medani katika kuadhimisha Miaka 60 ya…

Read More
  • Habari

MWANAFUNZI ATIWA MBARONI KUHAMASISHA POLISI WACHOMWE MTO – MWANAHARAKATI MZALENDO

Admin1 year ago01 mins

    JESHI la Polisi mkoani Mwanza linamshikilia Mwanafunzi wa Chuo cha Mipango na Maendeleo Vijijini Kanda ya Ziwa, Elias Anania (20) kwa tuhuma za kuhamasisha vurugu kupitia kundi sogozi la WhatsApp.     Inadaiwa mwanafunzi huyo amewataka wenzake kununua petroli na kuchoma askari polisi wenye sare popote watakakokutana nao.   Akizungumza na waandishi wa…

Read More
  • Habari

RAIS SAMIA – KIZIMKAZI SASA NI TAMASHA LA KITAIFA – MWANAHARAKATI MZALENDO

Admin1 year ago02 mins

    Rais Samia Suluhu Hassan amesema Tamasha la Kizimkazi limepandishwa hadhi kutoka tamasha la Kijji chaKizimkazi mpaka kuwa la kitaifa.     Akizungumza wakati wa hafla ya Uzinduzi wa Utalii wa Kasa kwenye Pango la Kasa lililopo eneo la Kizimkazi, Rais Samia amesema, watu wa Unguja Kusini lazima wakubaliane na mabadiliko hayo na kwamba…

Read More
  • Habari

RWANDA YATANGAZA KUFUNGA MADHAHEBU ZAIDI YA 40 – MWANAHARAKATI MZALENDO

Admin1 year ago01 mins

    Mamlaka ya Rwanda ilitangaza Alhamisi kupiga marufuku shughuli za Madhehebu 43 ya Kidini kote nchini kuanzia Agosti 28, wiki chache baada ya kufungwa kwa Maelfu ya Makanisa.     Barua iliyotolewa na Wizara ya Tawala za Mitaa inawataka viongozi wa Wilaya kutekeleza marufuku hiyo, ikisema tathmini inayoendelea ilibaini kuwa mashirika ya kidini yanafanya…

Read More
  • Magazeti

PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO AGOSTI 25,2024

Admin1 year ago01 mins

Home » PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO AGOSTI 25,2024 About the author

Read More
  • 1
  • …
  • 73
  • 74
  • 75
  • 76
  • 77
  • …
  • 343

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo