
Singida BS yaichapa Kagera | Mwanaspoti
SINGIDA Black Stars, wameendeleza ubabe wao katika Ligi Kuu Bara baada ya kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya wenyeji wao, Kagera Sugar. Mchezo huo uliochezwa jana kwenye Uwanja wa Kaitaba mkoani Kagera, Singida Black Stars ilipata bao hilo pekee kupitia beki wake wa kati, Anthony Tra Bi Tra dakika ya 90+2. Mashambulizi ya…