Mgomo wa wafanyabiashara Mafinga waingia siku ya pili

Mufindi. Mgomo wa wafanyabiashara  katika  Soko Kuu la Mafinga lililopo Wilaya ya Mufindi mkoani Iringa wa kufunga maduka, umeingia siku ya pili leo Agosti 24, 2024 ukisababisha adha kwa wananchi kukosa huduma. Mwananchi limefika sokoni hapo na kushuhudia milango ya maduka hayo imefungwa huku baadhi ya wananchi waliofika kwa ajili ya kupata huduma wakiduwaa wasijue…

Read More

Kirumba bado kugumu kwa Pamba

Mwanza. Pamba Jiji imeshindwa kufurukuta tena katika uwanja wake wa nyumbani wa CCM Kirumba jijini Mwanza baada ya kushindwa kuondoka na pointi tatu ikilazimishwa sare ya pili  mfululizo katika mchezo wa Ligi Kuu Bara. Timu hiyo ambayo ni mchezo wake wa pili ndani ya Ligi Kuu Bara baada ya kukosekana kwa takribani miaka 23, imelazimishwa…

Read More

Rais Samia akoshwa usimamizi na makusanyo ya kodi ZRA

Unguja. Rais Samia Suluhu Hassan amesema amefurahishwa na kazi inayofanywa na  Mamlaka ya Mapato Zanzibar (ZRA) ya ukusanyaji na usimamizi wa mapato ya Serikali. Samia ametoa kauli hiyo leo Jumamosi Agosti 24, 2024 katika maonyesho ya Tamasha la Kizimkazi alipomtembelea banda la mamlaka hiyo Mkoa wa Kusini Unguja. Kwa mwaka wa fedha 2023/24,  ZRA imekusanya…

Read More

Tanzania kuwa mwenyeji wa maonyesho ya Kahawa

Dar es Salaam. Katika kuongeza thamani ya soko la kahawa, Tanzania imepanga kuwa mwenyeji wa kongamano la maonyesho ya kahawa litakalofanyika Februari 2025 jijini Dar es Salaam. Kongamano hilo linafanyia ikiwa imepita miaka minane tangu lilipofanyika mwaka 2016 kwa kushirikisha wadau mbalimbali kutoka ndani na nje ya nchi. Imeelezwa kuwa, kongamano hilo litakaloambatana na maonyesho…

Read More

Huawei na Vodacom Tanzania Zazindua Mpango wa DigiTruck, Unaokuza Maendeleo Jumuishi na Endelevu ya kidijitali Tanzania – MWANAHARAKATI MZALENDO

Kampuni ya Huawei na Vodacom Tanzania zimeungana kuzindua mpango wa DigiTruck wa kutoa elimu na ujuzi wa kidijitali ili kukidhi dira ya serikali ya Tanzania katika kukuza ubunifu, ushirikishwaji na maendeleo endelevu kupitia matumizi ya teknolojia ya kidijitali. Uzinduzi huo ulifanywa na Dkt. Doto Mashaka Biteko, Naibu Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania…

Read More

SERIKALI NA SHERIA MPYA YA FIDIA (KIFUTA MACHOZI) KWA WAATHIRIKA WA WANYAMA WAKALI NA WAHARIBIFU

NA WILLIUM PAUL, SAME. BAADHI ya Wananchi wa Kata ya Kalemawe Wilayani Same (Jimbo la Same Mashariki) wameiomba Serikali kuboresha Sheria ya kiwango cha fidia (kifuta machozi) kinachotolewa kwa waathirika wa uvamizi wa Wanyama wakali na waharibifu (Tembo) ambao wamekuwa kero kubwa kwenye maeneo yao. Wameeleza hayo kwenye mkutano wa hadhara wa Mkuu wa Wilaya…

Read More

ARFA yapata mabosi wapya | Mwanaspoti

Chama cha soka mkoa wa Arusha (ARFA) imefanya uchaguzi wa nafasi mbali mbali na kupata viongozi watakaoiongoza kwa miaka minne.  Uchaguzi huo umefanyika leo mjini Namanga wilayani Longido ukiongozwa na Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Uchaguzi ya ARFA, wakili Hilda Mwanga na wasimamizi kutoka Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Karume Benjamin ambaye ni Makamu Mwenyekiti…

Read More

Kamati ya bajeti ya baraza la wawakilishi ZNZ yapongeza miradi ya ujenzi ya miundombinu ya mabasi yaendayo haraka daraja la juu

Kamati ya Bajeti ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar chini ya Mwenyekiti wake Mheshimiwa Mwanaasha Khamis, Agosti 23, 2024 imetembelea kujionea utekelezaji wa miradi ya ujenzi wa miundombinu ya ya Mabasi Yaendayo Haraka (BRT) pamoja na madaraja ya juu (fly over) ambayo inatekelezwa na Serikali kupitia Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) katika jiji la Dar es…

Read More