Nchemba aiangukia Yanga kwa Kagoma 

Mdau wa michezo nchini aliye pia Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba, amefunguka kwa mara ya kwanza sakata la kiungo Yusuf Kagoma, anayedaiwa kusaini Yanga na baadae kujiunga na Simba. Mwigulu ametumia ukurasa wake wa mtandao wa Instagram kulifafanua sakata la kiungo huyo akiandika: Sakata la Kagoma bado lipo TFF. Nafahamu undani wa suala la Yusuf…

Read More

Asas yang’ara Zanzibar, maonesho ya Tamasha la Kizimkazi

Ni Agosti 24, 2024 ambapo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan alihudhuria hafla ya uzinduzi wa Utalii wa Kasa katika Pango la Salaam (Salaam-Cave)Kizimkazi Dimbani Mkoa wa Kusini Unguja, Zanzibar .   Aidha pia alitembelea na kukagua mabandq ya biashara Dimbani Kizimkazi leo likiwemo banda la ASAS ambapo pichani…

Read More

WAZIRI JAFO ATAKA WATANZANIA KULINDA VIWANDA VYA NDANI

Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Dkt. Selemani Jafo (Mb.) akiwa ameambatana na ujumbe wake akiongea na waandishi wa habari baada ya kutembelea viwanda mbalimbali Kiwanda cha Kutengeneza Vinywaji baridi cha Kiwanda cha A One product and Bottles Ltd, Kiwanda cha Bonite Bottlers Ltd, Kiwanda cha kutengeneza bidhaa za ngozi cha Kilimanjaro, Kiwanda cha kutengeneza…

Read More

Mbrazili Fountain Gate aanika ukweli

ALIYEKUWA kiungo mshambuliaji wa Fountain Gate, Mbrazili Rodrigo Figueiredo Calvalho amevunja ukimya na kusema ukweli wa kilichotokea, akisema hakuifanyia kusudi katika madai ya fedha wakati akichezea kikosi hicho kama wengi wanavyozungumza. Nyota huyo aliyejiunga na kikosi hicho, Septemba 21, 2022 akitokea Sem Clube, aliishtaki Fountain katika Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa), kwa kile alichodai…

Read More

Serikali yatoa mwongozo kudhibiti kemikali ya ammonium nitrate

Dar es Salaam. Mamlaka ya Mkemia Mkuu wa Serikali (GCLA) imezindua mwongozo wa usimamizi wa kemikali ya ammonium nitrate lengo kulinda usalama wa nchi unaoweza kutetereka endapo kemikali hiyo itatumika bila kuzingatia sheria. GCLA imesema kuanzia 2019 hadi Julai 2024 tani 130,000 za kemikali za Ammonium Nitrate zimeingizwa nchini kwa ajili ya matumizi na nyingine…

Read More

Kesi ya ofisa usalama, shahidi aeleza sifa za mshtakiwa

Dar es Salaam. Shahidi wa 10 wa upande wa mashtaka katika kesi ya mauaji inayomkabili aliyekuwa Ofisa Usalama wa Taifa, Zaburi Kitalamo na wenzake wawili, amedai kuwa mshtakiwa huyo ana sura ya upole na pia huwa anaongea kwa upole kama mchungaji. Sifa hizo ziliwafanya watu waliokuwapo ndani ya Mahakama ya wazi namba mbili wakisikiliza kesi…

Read More

Somji azamisha dume Uganda Open

MCHEZA gofu kutoka Arusha, Aalaa Somji amekuwa  kipimo cha ubora wa mikwaju katika mashindano ya ubingwa kwa wanawake ya Uganda baada ya kupiga hole-in one katika shimo namba sita la Viwanja vya Gofu Entebbe, jana Ijumaa. Hole-in-one ni alama bora na adimu katika gofu na hupatikana kwa mcheza gofu kuingiza mpira shimoni moja kwa moja kwa…

Read More

Furahia Jumamosi yako kwa kubashiri na Meridianbet

  Jumamosi ya kutafuta mkwanja mrefu ndio imefika hivyo, basi ndugu mteja wa Meridianbet nakwambia hivi tengeneza jamvi lako la ushindi leo uibuke Milionea sasa. Kama kawaida ligi pendwa Duniani, EPL kuna mechi kibao zitakazopigwa tukianza na mchezo wa mapema kabisa Manchester United atakuwa ugenini dhidi ya Brighton. Timu zote zimetoka kushinda mechi zao za…

Read More