Cheza sloti ya Piggy Party, shinda mamilioni

  Umewahi kuona Nguruwe akisakata Rhumba au Mbweha akiyakata huku akinywa bia, hahahah basi haya yote unayapata kwenye mchezo wa Piggy Party kutoka kasino ya mtandaoni ya Meridianbet. Sloti hii ya kasino ya mtandaoni ya Meridianbet imetengenezwa na Expanse Studio ikiwa na dhumuni la kutoa burudani kwa wachezaji huku wakijipatia mihela kila dakika wanayocheza mchezo…

Read More

Rais wa RT akemea wababaishaji raidha

RAIS wa Shirikisho la Riadha Tanzania (RT), Silas Isangi amewaonya viongozi wa vyama vya mikoa wasiowajibika na kusisitiza hawafai kuendelea kuongoza. Isangi alitoa kauli hiyo juzi jioni wakati wa ufunguzi wa mashindano ya riadha ya Taifa yaliyofanyika kwa siku mbili. “Mashindano ya taifa yanafanyika mara moja kwa mwaka. Katika mikoa kuna mwenyekiti na katibu wa…

Read More

Ilichobaini polisi matukio matatu ya utekaji, watu kupotea

Dar es Salaam. Jeshi la Polisi limetoa taarifa kwa umma kuhusu matukio matatu ya watu kutekwa au kutoweka katika mazingira ya kutatanisha na kukutwa wakiwa wameuawa. Taarifa hiyo iliyotolewa na Msemaji wa Jeshi la Polisi, David Misime leo Jumamosi Agosti 24, 2024, imetolewa kukiwa na matamko kadhaa kutoka kwa umma, ukilitaka kutoka hadharani kuzungumzia matukio…

Read More

NEEC yalenga kuwakuza akinamama wanaofanya biashara katika seta ya utalii Mkoani Arusha

Na mwandishi wetu, Arusha Baraza la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC) kupitia Program ya Imarisha Uchumi na Mama (SAMIA) linalenga kuyaongeze uwezo wa biashara na ujasirimali makundi ya Kinamama, Vijana na makundi maalum wa Mkoani Arushi hasa wanaofanya shughuli za kitalii na biashara za nafaka zinazosafirishwa kwenda nchi za Afrika Mashairi. Kauli hiyo ilitolewa na Katibu…

Read More