Aussems, Nkata  ngoma nzito Kaitaba

KATIKA soka, rekodi zinaweza kuamua matokeo ya mechi, lakini uwezo binafsi nao huwezi kuuweka kando na hili ndilo linalosubiriwa kushuhudiwa leo kwenye Uwanja wa Kaitaba, mjini Bukoba wakatui Singida Black Stars na Kagera Sugar zitakapowaingiza vitani makocha wa timu hizo. Wenyeji Kagera Sugara wanacheza mechi hiyo ya kwanza msimu huu ikiwa chini ya kocha mpya,…

Read More

Tundu Lissu ajitosa sakata Ngorongoro

  WAKILI wa Mahakama Kuu, Tundu Lissu, ametaka ufuatiliaji wa haraka kwenye kesi iliyofunguliwa jijini Arusha na mwananchi mmoja, kupinga uhamisho wa wananchi wa Ngorongoro, mkoani Arusha.Akiandikia mawakili wenzake kupitia mitandao ya kijami, Lissu ameeleza yafuatayo: Anaripoti Mwandishi Wetu, Arusha … (endelea). Naomba kushauri yafuatayo kuhusu kesi iliyofunguliwa Arusha na masuala mengine muhimu: 1. Tupate…

Read More

Yanga, Azam zishindwe zenyewe, JKU, Uhamiaji mmh

Dar es Salaam. Timu tatu za Tanzania leo zitakuwa katika viwanja tofauti barani Afrika zikicheza mechi za marudiano za raundi ya kwanza ya mashindano ya klabu Afrika huku kukiwa na mategemeo tofauti kutokana na matokeo ya mechi za mwanzo zilizochezwa mwishoni mwa wiki iliyopita. Katika Uwanja wa Azam Complex, Dar es Salaam, Yanga itaikaribisha Vital’O ya…

Read More

NAIBU WAZIRI KASEKENYA AWATAKA MADEREVA KUFANYA KAZI KWA WELEDI – MWANAHARAKATI MZALENDO

Naibu Waziri wa Ujenzi, Eng. Godfrey Kasekenya, amewataka madereva wa Serikali kufanya kazi kwa weledi ili kufikia tija na kupunguza ajali. Akifunga kongamano la tatu la madereva wa Serikali lililofanyika jijini Arusha, Naibu Waziri alisisitiza umuhimu wa madereva kujitathmini kulingana na kazi wanayoifanya ili kuhakikisha wanakidhi mahitaji ya Serikali, jamii, na taifa kwa ujumla. Katika…

Read More

VODACOM TANZANIA KWA KUSHIRIKIANA NA HUAWEI YAZINDUA PROGRAM YA DIGITRUCK KULETA UFANISI ZAIDI UCHUMI WA KIDIJITALI TANZANIA

DigiTruck, darasa la kidijitali linalotembea, litazinduliwa nchini Tanzania mnamo Agosti 2024 kama sehemu ya mpango wa Vodacom Twende Butiama Cycling Tour 2024. Mradi huu ni matokeo ya ushirikiano kati ya Huawei na Vodacom Tanzania, ukiwa na lengo la kuwawezesha Watanzania kwa ujuzi wa msingi wa kidijitali na kuboresha maarifa yao. DigiTruck inalenga kuwafikia wanafunzi zaidi…

Read More

Kasoro kibali cha DPP zairudisha kesi ya ugaidi kortini

Songea. Mahakama ya Rufani imeamuru kusikilizwa upya kesi ya ugaidi inayowakabili washitakiwa sita baada ya kubainika kibali cha Mkurugenzi wa Mashitaka (DPP) hakikuwa kimeidhinishwa awali na mahakama. Desemba 16, 2022 Jaji Yose Mlyambina wa Mahakama Kuu Kanda ya Songea, aliwahukumu kifungo cha miaka 20 jela kwa kosa la kwanza na miaka 30 kwa kosa la…

Read More

WIKI YA AZAKI 2024 KUANZA RASMI SEPTEMBER 9-13 JIJINI ARUSHA

Na: Mwandishi wetu, DAR ES SALAAM Washiriki zaidi ya 500 kutoka Asasi za Kiraia (AZAKI), Sekta Binafsi, Serikali na wadau mbalimbali wa maendeleo wanatarajiwa kushiriki maadhimisho ya Wiki ya AZAKI 2024, itakayofanyika kuanzia Septemba 9 hadi 13 Jijini Arusha. Akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari uliofanyika Agosti 23, 2024 Jijini Dar es Salaam, Mkurugenzi…

Read More

SHIRIKISHO LA UMOJA WA MACHINGA TANZANIA KUIMARISHA UONGOZI NA USTAWI – MWANAHARAKATI MZALENDO

Shirikisho la Umoja wa Machinga Tanzania (SHIUMA) limechukua hatua ya kuondoa mwenyekiti wake aliyekuwa akihudumu kwa muda, Ernest Masanja, kutokana na kutoridhishwa na mwenendo wa shirikisho hilo katika kipindi cha miaka miwili na nusu tangu kusajiliwa kwake. Hatua hii imechukuliwa katika jitihada za kuboresha utendaji na uongozi wa shirikisho hilo ambalo limekuwa likikabiliwa na changamoto…

Read More

WATANZANIA LINDENI VIWANDA VYA NDANI

Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Dkt. Selemani Jafo (Mb.) akiwa ameambatana na ujumbe wake akiongea na Mkurugenzi wa Kiwanda cha kutengeneza bidhaa za ngozi cha Kilimanjaro Bw Saiba Edward alipotembelea Kiwanda hicho kilichopo Mkoani Kilimanjaro Agosti 23, 2024 wakati wa ziara yake Mkoani humo kujionea shughuli za uzalishaji, kusikiliza changamoto walizonazo na kutafuta njia…

Read More