Wanaomkejeli Mukwala leo, ndio watakaomshangilia kesho

HUKO mitaani kwa sasa usajili unaojadiliwa sana vijiweni ni ule wa straika mpya wa Simba, Steven Mukwala aliyetua hivi karibuni akitokea, Asante Kotoko ya Ghana. Kuanzia vijiwe vya kahawa, vile vya daladala hadi katika mitandao ya kijamii ni ishu nzima ya usajili wa Mukwala ndani ya Yanga kupitia dirisha kubwa lililofungwa katikati ya mwezi huu….

Read More

Azam FC kumaliza kazi waliyoianza Dar?

Matajiri wa Chamazi, Azam FC wana kibarua kizito jijini Kigali, Rwanda, itakaposhuka uwanja mkubwa nchini humo wa Amahoro kumalizana na APR mabingwa wa nchi hiyo. Azam imeshuka kwa kitisho ikisafiri na msafara wa watu 60 kwenye timu yao tu lakini pia ikasafirisha mashabiki wao mpaka nchini humo ili kuwaongezea hamasa ya kuhakikisha inafuzu baada ya…

Read More

Freddy Michael afichua mazito Simba SC

SAA chache baada ya kutemwa na Simba, mshambuliaji Freddy Michael amevunja ukimya na kufunguka akisema alichofanyiwa imekuwa ni kama sapraizi kwani alikuwa amejipanga kufanya makubwa baada ya kujipata mwishoni mwa msimu uliopita. Pia mshambuliaji huyo wa zamani wa Green Eagles ya Zambia, amesema licha ya kuwaheshimu na kuwakubali mastraika wapya waliotua Msimbazi, lakini amewaponda kwamba…

Read More

Watu watatu wauawa katika shambulizi la kisu – DW – 24.08.2024

Msemaji wa polisi ya mji ulio karibu wa Düsseldorf amesema polisi imeanzisha operesheni kubwa ya kumsaka mshukiwa, ambaye alifanikiwa kutoweka katika vurugu zilizotokea. Mshambuliaji huyo aliwashambulia watu kiholela akitumia kisu. Tamasha hilo lilikuwa sehemu ya mfululizo wa matukio ya kusherehekea miaka 650 ya kuanzishwa mji huo. Watu walikusanyika mjini humo Ijumaa jioni katika siku ya kwanza…

Read More

Watu watatu wauawa katika shambulizi la kisu Ujerumani – DW – 24.08.2024

Msemaji wa polisi ya mji ulio karibu wa Düsseldorf amesema polisi imeanzisha operesheni kubwa ya kumsaka mshukiwa, ambaye alifanikiwa kutoweka katika vurugu zilizotokea. Mshambuliaji huyo aliwashambulia watu kiholela akitumia kisu. Tamasha hilo lilikuwa sehemu ya mfululizo wa matukio ya kusherehekea miaka 650 ya kuanzishwa mji huo. Watu walikusanyika mjini humo Ijumaa jioni katika siku ya kwanza…

Read More