Mapya yaibuka kesi ya ‘waliotumwa na afande’

Dodoma. Kesi ya kubaka kwa kikundi na kumwingilia kinyume cha maumbile binti wa Yombo Dovya, Dar es Salaam imeahirishwa hadi Agosti 28, 2024 kupisha shauri la maombi ya marejeo lililofunguliwa katika Mahakama Kuu, Kanda ya Dodoma. Maombi ya marejeo namba 23476/2024 yamefunguliwa leo, Ijumaa Agosti 23, 2024 na Leonard Mashabara na yametajwa faragha mbele ya…

Read More

Adaiwa kuiba mtoto, kuishi naye kisiwani

Mwanza. Wakati matukio ya wizi na kupotea kwa watoto yakishamiri nchini, Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza linamshikilia George Mlalo (21), mkazi wa Kisiwa cha Kamasi wilayani Ukerewe kwa tuhuma za wizi wa mtoto mwenye umri wa mwaka mmoja. Mtuhumiwa ambaye ni mvuvi alikamatwa Agosti 16, mwaka huu saa moja usiku katika Kisiwa cha Ghana…

Read More

Kesi ya ‘waliotumwa na afande’ kuendelea Agosti 28

Dodoma. Kesi ya kubaka kwa kikundi na kumwingilia kinyume cha maumbile binti wa Yombo Dovya, Dar es Salaam imeahirishwa hadi Agosti 28, 2024 kupisha shauri la maombi ya marejeo lililofunguliwa katika Mahakama Kuu, Kanda ya Dodoma. Maombi ya marejeo namba 23476/2024 yamefunguliwa leo, Ijumaa Agosti 23, 2024 na Leonard Mashabara na yametajwa faragha mbele ya…

Read More

Serikali yawaonyesha wafanyabiashara fursa za mikopo

Arusha. Serikali imewataka wafanyabiashara nchini kuchukua mikopo kutoka kwenye taasisi zinazotambuliwa kisheria, kuliko kuingia tamaa ya mikopo ya mitandaoni ambayo imekuwa ikiwaumiza. Pia, imewataka kuchukua fedha za kiwango cha hitaji lao la kibiashara badala ya kuchukua mikopo mikubwa inayowasumbua kwenye kuirejesha na kuharibu ustawi wa biashara zao. Rai hiyo imetolewa leo Agosti 23, 2024 na…

Read More

EXPANSE KASINO INATEMA HELA KINOUMA

EXPANSE Kasino ni sehemu nzuri sana ya kutajirisha watu wengi, haswa kwa wale wanaocheza kasino ya mtandaoni wanajiweka kwenye nafasi ya karibu Zaidi na utajiri. Zaidi kabisa ujisajili na Meridianbet kuanza safari yako. Katika Promosheni ya shindano la Epxanse Kasino, unaweza kujishindia hadi Tsh 4,750,000/= ikiwemo bonasi za kasino kibao. Kuna michezo mingi ya kasino…

Read More

Meshack aliyeuawa Simiyu azikwa, LHRC yataka uchunguzi

Dar es Salaam. Wakati kijana Meshack Paka (20) akizikwa kijijini kwao, Lutubika, Busega mkoani Simiyu, Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kimetoa wito wa kufanyika uchunguzi wa haraka na wazi kuhusu vurugu hizo. baada ya kuuawa akidaiwa kupigwa risasi na polisi katika maandamano yaliyofanyika wilayani humo, Meshaki aliuawa kwa risasi katika maandamano ya…

Read More

Mwanachuo mbaroni kwa tuhuma za uchochezi mitandaoni

Mwanza. Mwanafunzi wa Chuo cha Mipango na Maendeleo Vijijini (IRDP) Tawi la Mwanza, kilichopo Kisesa wilayani Magu, Elias Mbise (20) amekamatwa akidaiwa kusambaza taarifa za uchochezi mitandaoni na kuhamasisha wenzake kuwafanyia vurugu askari wa Jeshi la Polisi na watumishi wengine wa umma. Mwanafunzi huyo anadaiwa kusambaza taarifa hizo katika kundi sogozi (WhatsApp) akiwashawishi watu mbalimbali…

Read More