NAIBU WAZIRI CHUMI AKUTANA NA NAIBU WAZIRI WA MAMBO YA NJE WA JAPAN
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Cosato Chumi akisalimiana na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Japan Mhe. Kyoto Tsuji alipofika ofisini kwake jijini Tokyo tayari kushiriki Mkutano wa Tisa wa ngazi ya Mawaziri wa Kimataifa wa Tokyo kuhusu maendeleo ya Afrika unaofanyika jijini humo tarehe 24-25 Agosti,…