Mundindi kijiji cha mfano bima ya afya

Dodoma. ‘Utajiri namba moja ni afya’ ndivyo anavyosema Fulko Mlowe mkazi wa Kijiji cha Mundindi kilichopo wilayani Ludewa, Mkoa wa Njombe ambacho wakazi wake wote wamekatiwa bima ya afya na serikali ya kijiji. Mundindi ni kijiji chenye jumla ya wakazi 3,196, lakini ambao walikuwa hawana bima ya afya ni wakazi 2,586 na wote hao sasa…

Read More

Tanzania Prisons, Mashujaa hakuna mbabe

Maafande wa Tanzania Prisons wameambulia pointi nyingine ya ugenini, wakilazimisha suluhu dhidi ya Mashujaa katika mchezo wa raundi ya pili wa Ligi Kuu Bara, uliochezwa Uwanja wa Lake Tanganyika, mjini Kigoma. Hii mechi ya pili kwa Prisons kutoka suluhu baada ya awali kuibana Pamba Jiji, uliopigwa jijini Mwanza katika ufunguzi wa Ligi hiyo, wikiendi iliyopita,…

Read More

Guinness yaongoza shamrashamra za msimu wa EPL nchini

  WADAU wa soka Tanzania wamejiandaa vilivyo kwa ajili ya raundi ya pili ya mechi za Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) wikendi hii, kwa hisani ya Guinness, Bia Rasmi na Bia Rasmi Isiyo na Kilevi. Serengeti Breweries Limited (SBL) ambao ndio wasambazaji wa Guinness nchini Tanzania, watatumia uzoefu wao katika masoko, matangazo yenye ubunifu na…

Read More

Jalada waliokuwa vigogo wa TPA lipo Takukuru kwa uchunguzi

Dar es Salaam. Serikali imesema bado wanaendelea na upelelezi katika kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA),  Madeni Kipande (66) na wenzake watano. Pia, jalada la kesi hiyo lipo Takukuru kwa ajili ya kupitiwa kwa sababu ilibainika kuwa kuna vitu bado havijakamilika. Wakili wa Serikali, Winiwa Kasala ameieleza…

Read More

Elias Maguri atua Biashara United

ALIYEKUWA nahodha wa Geita Gold, Elias Maguri amejiunga na Biashara United  inayoshiriki Ligi ya Championship, ili kuongeza nguvu kuipigania kupanda Ligi Kuu msimu ujao. Japokuwa Biashara United bado haijatangaza kikosi cha msimu, lakini Mwanaspoti inafahamu tayari imemalizana na  Maguri.   Mmoja wa viongozi wa timu hiyo ambaye hakutaka kuweka wazi jina lake amesema wamemalizana na…

Read More