Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: August 2024

  • Home
  • 2024
  • August
  • Page 9
Habari

Aenda jela miaka 30 kwa kumbaka mtoto wa miaka 13

August 30, 2024 Admin

Mufindi. Frank Kahise, mkazi wa Mtaa wa Mkombwe amehukumiwa kifungo cha miaka 30 jela na Mahakama ya Wilaya ya Mufindi, Iringa, kwa kosa la kumbaka

Read More
Habari

Askofu Shoo akemea mauaji, utekaji, wizi wa kura

August 30, 2024 Admin

Moshi. Askofu Fredrick Shoo wa Dayosisi ya Kaskazini ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), amekemea vikali vitendo vya kikatili vinavyohusisha mauaji yanayodaiwa kuwa

Read More
Habari

Nchi zinazoipakana na Bahari ya Hindi zatakiwa kuimarisha usalama majini

August 30, 2024 Admin

Dar es Salaam. Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi Zanzibar, Makame Machano Hajj, ameeleza umuhimu wa kuimarisha ukaguzi wa vyombo vya majini

Read More
Michezo

Mashabiki Wydad wamvaa Mzize | Mwanaspoti

August 30, 2024 Admin

Wakati mshambuliaji wa Yanga, Clement Mzize akiendelea kuhusishwa na klabu ya Wydad, mashabiki wa timu hiyo wamevamia kwenye ukurasa wake wa Instagram wakimkaribisha kwenye timu

Read More
Kimataifa

Huko Tonga Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Atangaza Dharura ya Hali ya Hewa Duniani – Masuala ya Kimataifa

August 30, 2024 Admin

Katibu Mkuu António Guterres (wa pili kulia) akitembelea Tonga, ambako alihudhuria Kongamano la Visiwa vya Pasifiki. Credit: UN Photo/Kiara Worth na Catherine Wilson (sydney &

Read More
Habari

WAHITIMU NELSON MANDELA WAASWA KUTOA HUDUMA BORA KWA JAMII

August 30, 2024 Admin

  Mwenyekiti wa Baraza la Uongozi wa Taasisi ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela Balozi Maimuna Tarish akiongea na wahitimu na wageni

Read More
Habari

TTCL KUSAMBAZA INTANETI KATIKA MAENEO YA UMMA

August 30, 2024 Admin

Na Mwandishi Wetu Arusha Shirika la Mawasiliano Tanzania TTCL , limesema inandelea kuwezesha nchi zinazoizunguka Tanzania kupata huduma ya Mawasiliano kupitia Mkongo wa Taifa wa

Read More
Habari

TCB KUSHIRIKIANA NA SERIKALI KUPANUA BIASHARA NJE YA NCHI

August 30, 2024 Admin

Arusha, Agosti 30, 2024 Benki ya Biashara Tanzania (TCB) imeendelea kuthibitishadhamira yake ya kupanua wigo wa uwekezaji nje ya mipaka ya nchi. Hayo yameelezwa wakati

Read More
Habari

MAAFISA WA KAZI NCHINI WATAKIWA KUTOA TAARIFA ZA WAFANYAKAZI WANAOUMIA MAENEO YA KAZI

August 30, 2024 Admin

Na Seif Mangwangi, Arusha SERIKALI imewataka maafisa kazi kote nchini kutoa taarifa za wafanyakazi wanaoumia maeneo ya kazi kwa wakati ili waweze kupewa stahiki zao

Read More
Michezo

Straika Ken Gold atafunga sana

August 30, 2024 Admin

ACHANA na matokeo iliyoanza nayo Ken Gold, straika wa timu hiyo, Joshua Ibrahim amesema bao aliloanza nalo katika Ligi Kuu wakati timu hiyo ikifumuliwa 3-1

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 8 9 10 … 343 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.