Aenda jela miaka 30 kwa kumbaka mtoto wa miaka 13

Mufindi. Frank Kahise, mkazi wa Mtaa wa Mkombwe amehukumiwa kifungo cha miaka 30 jela na Mahakama ya Wilaya ya Mufindi, Iringa, kwa kosa la kumbaka mtoto wa miaka 13. Hukumu hiyo ilitolewa na Hakimu Mfawidhi Benedict Nkomola Agosti 21, 2024, baada ya kuridhika na ushahidi uliotolewa na upande wa mashtaka kuwa alitenda kosa hilo Juni…

Read More

Askofu Shoo akemea mauaji, utekaji, wizi wa kura

Moshi. Askofu Fredrick Shoo wa Dayosisi ya Kaskazini ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), amekemea vikali vitendo vya kikatili vinavyohusisha mauaji yanayodaiwa kuwa na viashiria vya ushirikina, utekaji na matumizi mabaya ya nguvu na mamlaka, ambavyo vinatishia usalama wa nchi. Dk Shoo, ambaye pia ni mkuu mstaafu wa KKKT, amezungumzia pia wizi wa…

Read More

Mashabiki Wydad wamvaa Mzize | Mwanaspoti

Wakati mshambuliaji wa Yanga, Clement Mzize akiendelea kuhusishwa na klabu ya Wydad, mashabiki wa timu hiyo wamevamia kwenye ukurasa wake wa Instagram wakimkaribisha kwenye timu yao. Baada ya Mzize kufunga bao kali la pili jana kwenye mechi ya kwanza ya ligi, Yanga ikishida kwa mabao 2-0 dhidi ya Kagera Sugar akaweka chapisho akiandika maneno “Kesho…

Read More

Huko Tonga Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Atangaza Dharura ya Hali ya Hewa Duniani – Masuala ya Kimataifa

Katibu Mkuu António Guterres (wa pili kulia) akitembelea Tonga, ambako alihudhuria Kongamano la Visiwa vya Pasifiki. Credit: UN Photo/Kiara Worth na Catherine Wilson (sydney & nuku'alofa) Ijumaa, Agosti 30, 2024 Inter Press Service SYDNEY & NUKU’ALOFA, Agosti 30 (IPS) – Miezi mitatu kabla ya Mkutano wa COP29 wa Umoja wa Mataifa wa Mabadiliko ya Tabianchi…

Read More

TTCL KUSAMBAZA INTANETI KATIKA MAENEO YA UMMA

Na Mwandishi Wetu Arusha Shirika la Mawasiliano Tanzania TTCL , limesema inandelea kuwezesha nchi zinazoizunguka Tanzania kupata huduma ya Mawasiliano kupitia Mkongo wa Taifa wa Mawasiliano unao simamiwa na kuendeshwa na Shirika hilo. Shirika hilo linajivunia Jiografia nzuri ya Tanzania inayowasaidia kuwa kituo bora cha kuziwezesha nchi za jirani kama Kenya, Msumbiji, Zambia, Burundi na…

Read More

TCB KUSHIRIKIANA NA SERIKALI KUPANUA BIASHARA NJE YA NCHI

Arusha, Agosti 30, 2024 Benki ya Biashara Tanzania (TCB) imeendelea kuthibitishadhamira yake ya kupanua wigo wa uwekezaji nje ya mipaka ya nchi. Hayo yameelezwa wakati wa kikao kazi cha siku tatu kinachohitimishwa hivi leo jijini Arusha. Kikao hicho kilichofunguliwa rasmi na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan na kuwakutanisha…

Read More

Straika Ken Gold atafunga sana

ACHANA na matokeo iliyoanza nayo Ken Gold, straika wa timu hiyo, Joshua Ibrahim amesema bao aliloanza nalo katika Ligi Kuu wakati timu hiyo ikifumuliwa 3-1 na Singida Black Stars limemuongeza nguvu kikosini na kutamba ataendelea kumfunga yeyote kadri msimu utakavyosonga mbele. Ibrahim aliyewahi kukipiga Tusker ya Kenya alifunga bao hilo katika mechi ya kufungulia msimu…

Read More