Simba, Fountain kama kawa Bara

KAMA ulikuwa una presha ya kwenda kwenye Uwanja wa KMC Complex, kucheki gemu ya Simba na Fountain Gate baada ya awali kuwepo kwa hatihati ya kupigwa, we jipange tu, kwani mchezo huo utapigwa kama kawaida keshokutwa Jumapili. Awali kulikuwa na presha kwamba huenda mchezo huo usingechezwa kama iklivyotokea ule wa Namungo dhidi ya Fountain Gate…

Read More

Aliyeua wenza aachiwa huru | Mwananchi

Arusha. Mahakama ya Rufani iliyoketi Mwanza, imemuachia huru Elias James, ambaye mwaka 2020 alihukumiwa adhabu ya kifo kwa tuhuma za kuwaua kwa kutumia panga Zawadi Balthazary na Daud Phares ambao ni mke na mume. Kulingana na kosa lilivyokuwa, ilidaiwa siku ya tukio, baada ya kuwaua wanandoa hao, naye alijijeruhi kwa kujikata kwa kutumia kisu, koo…

Read More

Samatta sasa anukia Cyprus | Mwanaspoti

MABOSI wa Omonia Nicosia ya Cyprus wameripotiwa kuvalia njuga dili la kumnasa nahodha wa timu ya taifav ya Tanzania, Taifa Stars, Mbwana Samatta ambaye kwa sasa anaonekana kutokuwa katika mipango ya kocha wa PAOK ya Ugiriki, Razvan Lucescu. Samatta bado ana mkataba wa kuichezea miamba hiyo ya soka la Ugiriki hadi Juni 30, 2025, awali…

Read More

Rais na Amiri Jeshi Mkuu Dkt. Samia afunga Zoezi la Medani katika Maadhimisho ya Miaka 60 ya JWTZ) Pongwe Msungura, Msata mkoani Pwani

Rais na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan afunga Zoezi la Medani katika Maadhimisho ya Miaka 60 ya Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) Pongwe Msungura, Msata mkoani Pwani Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiimba pamoja na vikundi mbalimbali vya…

Read More

Ngumi za kulipwa zapelekwa Songea

TAMASHA kubwa la ngumi za kulipwa mkoa wa Ruvuma limepangwa kufanyika Septemba 8 kwenye Uwanja wa Majimaji, mjini Songea. Muandaaji wa tamasha hilo, Jofrey Miti  ya Lizaboni alisema kuwa mapambano mbalimbali ya ngumi za kulipwa yatafanyika katika tamasha hilo lililopangwa kuanza saa 11.00 jioni na litasindikizwa na mapambanio kadhaa likiwamo la bondia Chidi Benga wa…

Read More

Chavda aomba nakala ya uamuzi ili akate rufaa Mahakama Kuu

Dar es Salaam. Mfanyabiashara maarufu nchini, Pravinchandra Chavda (75) anayekabiliwa na mashtaka ya kutoa taarifa za uongo kituo cha Polisi, ameiomba Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, impatie nakala ya uamuzi pamoja na mwenendo wa kesi yake, ili aweze kukata rufaa Mahakama Kuu. Chavda ambaye ni  mkazi wa Upanga, anakabiliwa na mashtaka manne likiwemo la kutoa…

Read More

DKT. BITEKO ASHIRIKI KONGAMANO LA NISHATI SAFI YA KUPIKIA ZANZIBAR – MWANAHARAKATI MZALENDO

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko, ameshiriki kongamano la Nishati Safi ya Kupikia linalofanyika katika Hoteli ya Kwanza, Kizimkazi-Zanzibar, leo tarehe 23 Agosti 2024. Kongamano hili lina lengo la kuhamasisha matumizi ya nishati safi na teknolojia zinazohusiana. Kabla ya kongamano, Dkt. Biteko alitembelea mabanda ya maonesho ya wadau wa sekta…

Read More

Dk Mwinyi ajibu hoja, tuhuma dhidi ya Serikali

Unguja. Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi  ametumia ziara ya chama hicho kujibu hoja zinazotolewa kuhusu miradi ya Serikali na yeye binafsi. Dk Mwinyi ambaye pia ni Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) amesema ataendelea kuwa mvumilivu licha ya kutukanwa hadharani. Licha ya Dk Mwinyi kutotaja chama, lakini…

Read More