
RAIS SAMIA SULUHU HASSAN AONGOZA MAADHIMISHO YA MIAKA 60 YA JWTZ – MWANAHARAKATI MZALENDO
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, alihudhuria na kuongoza sherehe za kufunga Zoezi la Medani, ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 60 ya Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ). Tukio hilo lilifanyika tarehe 23 Agosti 2024, katika eneo la Pongwe Msungura, Msata,…