VIDEO: Wafanyabiashara Soko la Chief Kingalu wagoma, wamtaka DC atengue kauli

Morogoro. Baadhi ya wafanyabiashara wa Soko kuu la Chief Kingalu katika Manispaa ya Morogoro leo Agosti 23, 2024 wamegoma kufungua biashara zao na kufunga barabara inayoingia sokoni hapo, wakipinga wafanyabiashara wadogo kuruhusiwa kufanya biashara nje ya soko hilo. Wafanyabiashara hao wamedai kuwa agizo la wafanyabiashara hao kufanya biashara nje ya soko hilo lilitolewa na Mkuu…

Read More

LHRC yatia neno sakata la wananchi, polisi Simiyu

Dar es Salaam. Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kimetoa wito wa kufanyika uchunguzi wa haraka na wazi kuhusu matukio yaliyotokea, Wilaya ya Busega mkoani Simiyu kikidai uwajibikaji kutoka kwa waliohusika. Kituo hicho pia kimehimiza vyombo vya usalama kuheshimu haki za binadamu na kurejesha imani ndani ya jamii, ambayo imeporomoka kutokana na matukio…

Read More

LHRC yatia neno sakata matukio ya Simiyu

Dar es Salaam. Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kimetoa wito wa kufanyika uchunguzi wa haraka na wazi kuhusu matukio yaliyotokea, Wilaya ya Busega mkoani Simiyu kikidai uwajibikaji kutoka kwa waliohusika. Kituo hicho pia kimehimiza vyombo vya usalama kuheshimu haki za binadamu na kurejesha imani ndani ya jamii, ambayo imeporomoka kutokana na matukio…

Read More

MIPANGO KABAMBE NA NDOTO KUU ZA MAFANIKIO YANGA ZILIZOBEBWA NA MIGUEL GAMOND – MWANAHARAKATI MZALENDO

Katika ulimwengu wa soka, ambapo kila dakika ni fursa ya kujenga au kubomoa ndoto, kocha mahiri Miguel Gamondi anaonekana kuwa na ramani ya ushindi iliyochorwa kwa umakini mkubwa. Akijiamini lakini akiwa na miguu yote miwili ardhini akijiaanda kukikabili kikosi cha Vital O ya Rwanda hapo kesho, Gamondi anafahamu kwamba mechi iliyopita ilikuwa tu sehemu ya…

Read More

Wanafunzi wapendekeza mazingira mazuri ufundishaji hisabati

Dar es Salaam. Serikali imetakiwa kuweka mazingira sawa ya kujifunzia kwa wanafunzi wote nchini, hususan walioko vijijini ili kuwajengea hamasa ya kupenda somo la hisabati na kuwapa fursa ya kushindana na wenzao wa nchi nyingine. Hatua hiyo kwa mujibu wa wanafunzi, itawaongezea mwamko wa kulipenda somo hilo, ambalo kwa muda mrefu wengi wameonekana kufeli. Miongoni…

Read More