Joao Felix mmoja tu, Chelsea kibao!

LONDON, ENGLAND: NDO hivyo. Uwezo wa kucheza nafasi nyingi tofauti uwanjani unamfanya Joao Felix kumpa machaguo ya kutosha kocha wa Chelsea katika namna ya kupanga kikosi chake msimu huu. Chelsea imekamilisha usajili wa staa huyo wa Ureno kwa ada ya Pauni 42.6 milioni kutoka Atletico Madrid. Fowadi huyo alitumikia miezi sita kwa mkopo Stamford Bridge…

Read More

NJOHOLE: Nilifungiwa kwa kujisaidia uwanjani

Mabadiliko makubwa katika muuondo wa uendeshaji wa soka nchini umekuwa na manufaa makubwa kwa wachezaji wa sasa, hasa wenye fursa za kutoka nje ya nchi tofauti na ilivyokuwa miaka ya nyuma enzi za Chama cha Soka Tanzania (FAT) kulikokuwa na mizengwe na ukiritimba mkubwa. Mmoja ya wahanga wa mizengwe na ukiritimba huo, ni Nico Njohole,…

Read More

Mpole hatihati kuivaa Dodoma Jiji

KESHO Pamba Jiji itarusha karata yake ya pili Ligi Kuu itakapoikabili Dodoma Jiji katika Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza, huku shauku ya mashabiki wa timu hiyo kumuona mshambuliaji wao, George Mpole ikiwa njiapanda kutokana na leseni yake kutokamilika. Mchezo huo wa raundi ya pili ya Ligi Kuu Bara utachezwa kuanzia saa 10:00 jioni, timu…

Read More