Kesi ya ‘waliotumwa na afande’ kuendelea leo siku ya tano

Dodoma. Washtakiwa kesi ya ubakaji na kumwingilia kinyume cha maumbile binti, mkazi wa Yombo Dovya, Dar es Salaam, wamefikishwa mahakamani kuendelea na usikilizwaji wa shauri hilo. Leo Agosti 23, 2024 ni siku ya tano tangu walipofikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Dodoma ambako walisomewa mashtaka mawili. Hakimu Mkazi Mkuu, Zabibu Mpangule anayesikiliza kesi hiyo alipanga…

Read More

Nabi kasema…Yanga nusu fainali! | Mwanaspoti

KIKOSI cha Yanga kinaendelea kujifua kwa ajili ya mechi ya marudiano ya raundi za awali za Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Vital’O ya Burundi, iliyohamishwa kutoka Kwa Mkapa hadi Azam Complex, huku kocha wa zamani wa timu hiyo, Nasreddine Nabi akiitabiria msimu huu kufika nusu fainali ya michuano hiyo. Nabi anayeinoa Kaizer Chiefs ya…

Read More

Global Medicare kuleta madaktari wa Congo JKCI

  MADAKTARI nane kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC, wanatarajiwa kutembelea Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI), kwaajili ya kujifunza namna taasisi hiyo ilivyopiga hatua katika tiba ya moyo na uwekezaji mkubwa uliofanywa na serikali kwenye vifaa tiba na wataalamu bobezi. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). Mkurugenzi wa Global Medicare…

Read More

WAZAZI WATAKIWA KUWAHAMASISHA VIJANA KWENDA SHULE – MWANAHARAKATI MZALENDO

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, ametoa wito kwa wazazi kuhakikisha vijana wao wanapata elimu kwa kuwapeleka shule, hasa katika shule za sekondari. Waziri Mkuu alisisitiza kuwa bila elimu, vijana hawawezi kufikia malengo yao na kuchangia kikamilifu katika maendeleo ya taifa. Akizungumza jana na wakazi wa kijiji cha Mtondo, Kata ya Nambiranje, wilayani Ruangwa, Waziri Mkuu alisema,…

Read More

Dabo aitega APR | Mwanaspoti

AZAM imetua salama jijini Kigali, Rwanda tayari kwa mchezo wao wa mkondo wa pili wa Ligi ya Mabingwa Afrika lakini kuna kauli ameitoa kocha wao Yusuf Dabo, juu ya Wanajeshi hao wa Kirundi. Azam iliyoondoka jana alfajiri na kutua Rwanda, itamalizana na APR, kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika hatua ya mtoano baada ya…

Read More

Wazazi pelekeni vijana wenu shule – Majaliwa

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewataka wazazi wahakikishe vijana wao wanakwenda kusoma kwenye shule za sekondari kwani bila elimu hawawezi kufika mbali. “Wazazi wenzangu hakikisheni vijana wenu wanaenda shule. Hatuwezi kufika mbali kama vijana wetu hawaendi shule. Tunajenga shule kila mahali, tunataka maeneo yote yawe na shule,” alisema. Waziri Mkuu Majaliwa ambaye pia ni Mbunge wa…

Read More

JJAD Kagera Farmers kuongeza uzalishaji kahawa ya Robusta

  KAMPUNI  inayojihusisha na kilomo cha kahawa  JJAD Kagera farmers imeishukuru serikali ya awamu ya sita chini ya Rais Samia Suluhu Hassan kwa kusaidia bei ya kahawa kupanda bei hadi kufikia shilingi 1,200 mwaka jana mpaka kufikia shilingi 5,300. Anaripoti Mwandishi Wetu, Kagera … (endelea). Hayo yalisemwa jana jijini Dar es Salaam na Mkurugenzi Mtendji…

Read More

Washiriki 1200 watarajiwa kushiriki mbio za barabarani

WASHIRIKI wasiopungua 1200 wanatarajiwa kushiriki mbio za barabarani zitakazofanyika Agosti 31 mwaka huu zitakazoanza kutimua vumbi Police Office Mess Masaki. Akizungumza na waandishi wa habari, Msemaji wa The Runners Club, Godfery Mwangungulu ambao ndio waandaaji wa mbio hizo Alisema ni msimu wa saba sasa wa mbio hizo lakini kwa msimu huu zimekuwa na utofauti. Mwangungulu…

Read More

SERIKALI YA TANZANIA YAWEKEZA BILIONI 840 KUREKEBISHA MIUNDOMBINU ILIYOATHIRIWA NA MVUA ZA EL-NINO – MWANAHARAKATI MZALENDO

Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa, ameeleza kuwa Serikali ya Tanzania imeelekeza kiasi cha Shilingi Bilioni 840 (Dola za Marekani Milioni 325) kwa ajili ya ujenzi na ukarabati wa miundombinu iliyoharibiwa na mvua kubwa za El-Nino na Kimbunga Hidaya. Hatua hii inakuja baada ya mvua hizo kuathiri sana mawasiliano ya barabara, madaraja, na makalvati katika maeneo…

Read More