PIRAMIDI YA AFYA: Dondoo za matumizi ya mipira ya kiume

Matumizi ya mipira ya kiume ni moja ya njia za kuzuia maambukizi yanayoenea kwa njia ya kujamiiana, ikiwamo virusi vya Ukimwi (VVU), kaswende, kisonono, virusi vya homa ya ini, hepes na papilloma vinavyosababisha saratani ya shingo ya kizazi. Vilevile hutumiwa kama njia ya uzazi wa mpango na tiba ya tatizo la kuwahi kufika mshindo. Watumiaji…

Read More

Njohole aeleza sababu ya kuondoka Simba SC

Mabadiliko makubwa katika muuondo wa uendeshaji wa soka nchini umekuwa na manufaa makubwa kwa wachezaji wa sasa, hasa wenye fursa za kutoka nje ya nchi tofauti na ilivyokuwa miaka ya nyuma enzi za Chama cha Soka Tanzania (FAT) kulikokuwa na mizengwe na ukiritimba mkubwa. Mmoja ya wahanga wa mizengwe na ukiritimba huo, ni Nico Njohole,…

Read More

Zijue sababu za mtoto kuchelewa kuongea

Dar es Salaam. Moja kati ya mambo yanayompa furaha mzazi ni pamoja na kusikia sauti ya mtoto wake akitamka neno kwa mara ya kwanza. Mara nyingi watoto wengi wanapotaka kuzungumza huanza kutamka maneno kama baba, dada, mama, kaka, tata, mma na mengine ambayo wakati mwingine hawayatamki vizuri kwa sababu wanakuwa katika hatua za awali za…

Read More

Aliyenitapeli fedha aamua kuzirudisha baada ya kufanya hivi!

Hakuna kitu kinaumiza kama kutapeliwa, utapeli umewaigiza watu wengi katika msongo wa mawazo baada ya kupoteza vitu vyao vya thamani kama mali na fedha. Ubaya ni kwamba matapeli wana mbinu ambazo hata Polisi kuna muda wanashindwa kuzitambuza, na kila mara wanakuja na mbinu mpya za utapeli ambazo hata wananchi tunakuwa hatuzitambuia kwa haraka. Jina langu…

Read More

Mambo sita yanayoathiri ubora wa mbegu za kiume

Dar es Salaam. Wataalamu wa afya wametaja mambo sita ambayo mwanamume anapaswa kuwa makini nayo, ili kutoathiri ubora wa mbegu zake za kiume. Ili binadamu akamilike, mwanamume anatakiwa kutoa chembeuzi ‘chromosome’ 23 na mwanamke chembeuzi 23 na kukamilisha Asidi Kiinideoksiribo ‘DNA’ 46. DNA hizi hubeba vinasaba au jeni, yaani sehemu ambazo zinaamua tabia za kiumbe…

Read More

TANZANIA MWENYEJI MAONESHO YA 21 YA KAHAWA FEBRUARI 2025

WAKULIMA na Wafanyabiashara wa Kahawa kutanua Masoko yao kupitia Maonesho ya 21 ya biashara ya Kahawa yaliyoandaliwa na chama cha Kahawa bora za Afrika (AFCA) Kwa Kushirikiana na Bodi ya Kahawa Tanzania (TCB) yanayotarajiwa kufanyika Februari 2025 katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Mwalimu Nyerere (JNICC) Jijini Dar es Salaam. Akizungumza na Wanahabari Mkurugenzi…

Read More