Narendra Modi ahimiza amani kabla ya ziara ya Ukraine – DW – 22.08.2024

Kiongozi huyo amesema nchi yake inaunga mkono mazungumzo na njia ya diplomasia kurejesha amani na utulivu. Ameyasema hayo mjini Warsaw siku moja kabla ya kufanya ziara ya kihistoria nchini Ukraine iliyokumbwa na vita. “Migogoro inayoendelea nchini Ukraine na Asia Magharibi inatutia wasiwasi sana. India inaamini kwa dhati kwamba hakuna tatizo linaloweza kutatuliwa katika uwanja wa…

Read More

ACT-Wazalendo wataka mabadiliko Jeshi la Polisi

Unguja. Chama cha ACT-Wazalendo kimemuomba Rais Samia Suluhu Hassan kutekeleza mapendekezo yaliyotolewa na Tume ya Haki Jinai ya kubadilisha mfumo wa Jeshi la Polisi kabla ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2025. Chama hicho kimetoa kauli hiyo kutokana na ilichodai kuendelea kuwapo matamshi kutoka kwa polisi dhidi ya demokrasia nchini. Akitoa taarifa kwa waandishi wa habari…

Read More

Chemundugwao: Nipo tayari kujiunga Dar City

WAKATI timu ya Dar City ikiongoza Ligi ya Kikapu  Mkoa wa Dar es Salaam (BDL), mchezaji nyota  wa zamani wa timu ya Dar City Trofimo Chemundugwao   anasema kuwa anategemea kujiunga timu yake hivi karibu Chemundugwao ambaye yuko Mtwara kikazi, alisema atajiunga kikosini baada ya kumaliza kazi zilizompeleka Mtwara. “Kazi karibu tunamaliza, nikitoka huku nitakwenda  moja…

Read More

ACT- Wazalendo kujaza nafasi za naibu makatibu wakuu

Dar es Salaam. Naibu makatibu wakuu wa chama cha ACT- Wazalendo wa Tanzania Bara na Zanzibar,  huenda wakajulikana ndani ya siku chache zijazo wakati viongozi wakuu wa chama hicho watakapokutana kwa siku mbili jijini Dar es Salaam. Viongozi wa ACT -Wazalendo wanatarajia kukutana Agosti 23 na 24, 2024 katika kikao cha kamati kuu na kisha…

Read More

Nne zajiweka pazuri 8 Bora DBL

USHINDANI mkali wa timu zinazotafuta nafasi ya kucheza hatua ya nane bora katika ligi ya kikapu mkoa wa Dar es Salaam (BDL), umeonyesha timu nne ndizo zenye nafasi  kucheza hatua ya nane bora. Hatua ya nane bora  itatokana na timu zilizofanya vyema baada ya kila moja kumaliza kucheza michezo 30. Timu zilizojiweka katika nafasi ya…

Read More

NYIE! Jesca aongoza kwa asisti HUKO BDL

JESCA Lenga wa timu ya DB Troncatti anaongoza upande wa wanawake  kwa kutoa ‘asisti’ nyingi akifanya hivyo mara 193,  katika ligi ya kikapu mkoa wa Dar es Salaam (BDL). Utoaji wa ‘asisti’ ni pale mchezaji anapotoa  pasi kwa mchezaji mwenzake na kisha mwenzake huyo akafunga pointi. Anayemfuatia ni Tukusubila Mwalusamba kutoka Tausi Royals aliyetoa asisti…

Read More

Mkosa kinara wa kuiba mipira

MCHEZAJI Amin Mkosa wa timu ya Mchenga Stars anaongoza katika ligi ya kikapu mkoa wa Dar es Salaam (BDL),  kwa kuiba mpira kutoka kwa wapinzani wake (steal) akifanya hivyo mara 40. Kuiba mpira (steal) kama inavyoitwa,  inatokana na mchezaji kunyakua mpira kutoka kwa mpinzani wake bila ya kumfanyia madhambi. Mchezaji anayemfuatia katika kipengele hicho ni…

Read More