Askofu akemea rushwa chaguzi zijazo

Dar es Salaam. Wakati maandalizi ya chaguzi zijazo yakiendelea nchini, Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Songea, Damian Dallu ameonyesha hofu kwa yanayoendelea kama yatachagiza kupata viongozi bora. Kiongozi huyo wa kiroho amewataka Watanzania katika uchaguzi wa serikali za mitaa Novemba 27, 2024 na Uchaguzi Mkuu 2025 kutafuta mtu atakayewasaidia na kutanguliza mbele utu…

Read More

CCM yawakata 37 kugombea ubunge EALA, yateua 10

Dar es Salaam. Kamati Kuu Maalumu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), imewateua makada wake 10 kugombea ubunge wa Afrika Mashariki (EALA), kurithi nafasi iliyoachwa wazi na Dk Shongo Sedoyeka aliyefariki dunia Juni 13, 2024. Hata hivyo, uamuzi huo wa kamati kuu umewakata makada wengine 37 waliotia nia kuomba ridhaa ya chama hicho kuteuliwa kugombea ubunge…

Read More

WAKALA WA VIPIMO YAPANGA KUNG’ARA SHIMUTA

Watumishi wa Wakala wa Vipimo wakifanya mazoezi ya viungo kabla ya kushiriki katika michezo mbalimbali …… Ikiwa imebaki miezi miwili kuelekea mashindano ya Shirikisho la Michezo la Mashirika ya Umma,Taasisi na Makampuni Binafsi ( SHIMUTA) ambayo yamepangwa kufanyika katika Viwanja vya CCM Mkwakwani mkoani Tanga kuanzia tarehe 10 hadi 24 Novemba,2024, Wakala wa Vipimo (WMA)imefanya…

Read More

Serikali kugharimia matibabu ya majeruhi Hanang

Babati. Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Queen Sendiga amesema Serikali itagharamia matibabu kwa wanafunzi majeruhi wa ajali ya magari mawili yaligongana na kusababisha vifo vya watu wanne jana. Sendiga ameyasema hayo leo Jumapili Septemba Mosi, 2024 baada ya kuwatembelea majeruhi wa ajali hiyo ambao wamelazwa Hospitalini ya Rufaa ya Mkoa wa Manyara, mjini Babati. Ajali…

Read More

Vigogo KenGold wameamua | Mwanaspoti

WAKATI benchi la ufundi Ken Gold likiahidi kusuka kikosi upya, uongozi wa timu hiyo nao umekoleza moto kwa mastaa ukiahidi dau nono kwa matokeo ya ushindi kuanzia mchezo ujao dhidi ya Fountain Gate. Ken Gold inayoshiriki Ligi Kuu kwa mara ya kwanza haijaanza vyema msimu, baada ya kupoteza mchezo wa ufunguzi dhidi ya Singida Black…

Read More