Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Day: September 4, 2024

  • Home
  • 2024
  • September
  • 4
Kimataifa

Ukosefu wa Uwajibikaji kwa Uhalifu wa Kivita nchini Libya Huzusha Kukosekana kwa Uthabiti – Masuala ya Ulimwenguni

September 4, 2024 Admin

Baraza la Usalama lakutana katika Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa kujadili hali ya uhasama inayozidi kuongezeka nchini Libya na Ujumbe wa Umoja wa Mataifa

Read More
Habari

ISOC Tanzania yawataka vijana kujenga uwezo katika usimamizi wa mtandao

September 4, 2024 Admin

Rais wa Internet Society Tanzania (ISOC) Nazar Kilama akizungumza katika mafunzo ya vijana kuhusiana na usimamizi wa Mitandao iliyofanyika jijini Dar es Salaam. Thadei Nkazabi

Read More
Habari

MNADHIMU MKUU WA JWTZ LUTENI JENERALI SALUM HAJI OTHUMAN AISHUKURU KAMATI YA BUNGE

September 4, 2024 Admin

  MNADHIMU Mkuu wa JWTZ Luteni Jenerali Salum Haji Othuman ameishukuru Kamati ya Kudumu ya Bunge, Ulinzi na Mambo ya Nje ya Kisiwa cha Ushelisheli

Read More
Habari

Jalada anayedaiwa kubaka mwanaye lapelekwa kwa DPP

September 4, 2024 Admin

Dodoma. Jeshi la Polisi limekamilisha upelelezi wa tuhuma dhidi ya baba anayedaiwa kumbaka na kumlawiti mtoto wake wa miezi sita. Limeeleza leo Jumatano Septemba 4,

Read More
Habari

MUONEKANO MPYA SERENGETI BEER – MWANAHARAKATI MZALENDO

September 4, 2024 Admin

Serengeti Breweries Limited imezindua muonekano mpya na maridadi kwa chapa zake pendwa, ikiwemo Serengeti Premium Lager, Serengeti Premium Lite, na Serengeti Premium Lemon.  Mabadiliko haya

Read More
Habari

Wadau wasimama kidete kukosoa kauli tata za viongozi kuhusu uchaguzi

September 4, 2024 Admin

Dar es Salaam. Kufuatia kauli tata zinazoendelea kuibuka zikihusu rafu katika chaguzi mbalimbali nchini Tanzania, wadau wa siasa wameibuka na kupinga vikali huku wakitaka muafaka

Read More
Habari

WAKUU WA SHULE ZA SEKONDARI WA JIMBO LA SAME MASHARIKI WAWASILI DODOMA KWA MWALIKO WA MBUNGE

September 4, 2024 Admin

NA WILLIUM PAUL, DODOMA. WALIMU Wakuu wa shule za sekondari na Wasaidizi wao(Makamu) kutoka katika jimbo la Same mashariki wilayani Same mkoani Kilimanjaro wamewasili jijini

Read More
Habari

Bibi asimulia mjukuu alivyokosa matibabu kisa Sh20,000

September 4, 2024 Admin

Mwanza. Mwamvua Said (75), mkazi wa Kayenze Wilaya ya Ilemela mkoani Mwanza amewezeshwa bure kadi ya bima ya afya kwa ajili yake na wajukuu zake

Read More
Habari

TANAPA yaanza na mkakati wa kuboresha barabara zilizopo Hifadhi za Taifa hususani barabara ya Serengeti

September 4, 2024 Admin

Na MWANDISHI WETU WADAU wa Utalii katika Hifadhi ya Taifa Serengeti wameiomba Serikali kupatia suluhisho la kudumu la ujenzi wa barabara katika Hifadhi za Taifa

Read More
Habari

Shahidi wa 12 kesi ya ‘waliotumwa na afande’ akamilisha ushahidi

September 4, 2024 Admin

Dodoma. Shahidi wa 12 wa upande wa Jamhuri katika kesi ya kubaka kwa kikundi na kumwingilia kinyume cha maumbile binti mkazi wa Yombo Dovya, jijini

Read More

Posts pagination

1 2 … 14 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.