
PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO SEPTEMBA 8,2024
Home » PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO SEPTEMBA 8,2024 About the author
Home » PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO SEPTEMBA 8,2024 About the author
MWENYEKITI wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Marry Chatanda, akizindua kamati ya Haki na Sheria ya UWT,iliyoenda sambamba na uzinduzi wa kampeni ya msaada wa kisheria leo Septemba 7,2024 jijini Dodoma. Na.Mwandishi Wetu_DODOMA MWENYEKITI wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Marry Chatanda ,amezindua kampeni ya msaada wa Kisheria inayoratibiwa na Kamati ya Haki na Sheria…
MFUKO wa Uwekezaji wa Pamoja wa Alpha Capital umeingia makubaliano na kampuni tanzu ya soko la hisa la Uingereza, Infinitive, kwa ajili ya kupata taarifa muhimu za masoko duniani. Akizungumza katika hafla hiyo leo Septemba 7,2024 Jijini Dar es Salaam Mtendaji Mkuu wa Mfuko wa Alpha Capital Fund, Gerase Kamugisha, akieleza kwamba Infinitive itatoa huduma…
Dodoma. Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wanawake ya Chama cha Mapinduzi (UWT), Mary Chatanda ameiagiza kamati ya haki na sheria ya jumuiya hiyo, wabunge na wadau wengine kufanya tathimini ya kina ya sababu za kuongezeka kwa matukio ya ukatili wa kijinsia nchini licha ya kuwapo adhabu kali. Chatanda amesema tathimini hiyo ilenge pia kuona kama vifungu…
Morogoro. Naibu Msajili Mfawidhi wa Mahakama kuu Morogoro, Fadhili Mbelwa amewaapisha jopo la majaji saba ambao watakuwa na kazi ya kupitia kazi na kupata washindi Tuzo za Umahiri wa Uandishi wa Habari (EJAT) za mwaka 2023 zinazofanyika mwaka huu. Tuzo hizo zinaandaliwa na Baraza la Habari Tanzania (MCT), kazi zilizowasilishwa ni 1,135 za waandishi nchini…
Dar/Mikoani. Ikiwa ni wiki moja tangu kumalizika Wiki ya Usalama Barabarani, ajali tatu zimetokea katika mikoa ya Mbeya na Morogoro na kusababisha vifo vya watu 25 na majeruhi 77. Wiki ya Usalama Barabarani iliyoanza Agosti 26 ilihitimishwa Agosti 30, 2024. Kwa kawaida katika wiki hiyo hufanyika ukaguzi wa vyombo vya moto na hutolewa stika maalumu…
Dar es Salaam. Serikali imevunja ukimya kuhusu uwepo wa viongozi wa dini nchini wasiozingatia misingi ya sheria na maandiko ya vitabu vitakatifu, badala yake wanawatumia waumini kama mtaji wa kujilimbikizia mali, huku wakiwapa mafundisho yasiyofaa. Kutokana na hayo, Makamu wa Rais Dk Philip Mpango ameitaka Wizara ya Mambo ya Ndani kupitia Ofisi ya Msajili wa…
Katavi. Julai 7, 2023, mkazi wa Mtaa wa Kivukoni uliopo katika Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi, Athumani Yengayenga (36) aliushangaza ulimwengu kwa kufungua ndoa na wanawake watatu siku moja. Kijana huyo alifikia uamuzi huo ili kukamilisha sunah ya imani ya Kiislamu ambapo dini hiyo inaruhusu mwanaume kuoa wanawake zaidi ya mmoja. Athuman Yengayenga alifunga ndoa…
Wakati Mbeya City ikiahidi kurejea Ligi Kuu Bara msimu ujao wa 2025/26, Mkuu wa mkoa huo, Juma Homera ametangaza mkakati kwa timu hiyo kuhakikisha inshinda mechi za nyumbani na kuwataka wadau na mashabiki kuungana kwa pamoja ili kufikia malengo. Mbeya City inajiandaa na Ligi ya Championship kwa msimu wa pili mfululizo na sasa matumaini yao…
Dar es Salaam. Wakati Chadema ikidai kutekwa Mjumbe wa Sekretarieti ya chama hicho Taifa, Ally Mohamed Kibao akiwa kwenye usafiri wa umma, Jeshi la Polisi limesema limeanza uchunguzi kubaini kilichotokea, chanzo chake na watu waliohusika. Taarifa kwa umma iliyotolewa na Msemaji wa Jeshi la Polisi, David Misime leo Septemba 7, 2024 imesema jana Septemba 6,…