NCHI ZA UKANDA WA MASHARIKi KuJIPANGA NA KUANGALIA NAMNA YA KUJA NA VYANZO VIP YA VYA KUZALISHA UMEME

Washiriki kutoka Nchi 12 za ukanda wa Mashariki na kushiriki Mafunzo ya Wataalam wanaohusika na Mambo ya Nishati wakiwa katika picha ya pamoja Mtaalam Sourian Hachad akiendelea kutoa ufafanuzi namna ya kutumia vyanzo vingine kwaajili ya kuzalisha umeme Wa kwanza kushoto ni Naibu katibu mkuu Wizara ya Elimu Sayansi na Tenkolojia Prof. Daniel Mushi akibadilishana…

Read More

MRADI WA IWT WAKABIDHI MIZINGA 300 KWA WAGA

  Mradi wa Kupambana na Ujangili na Biashara Haramu ya Wanyamapori (IWT) ulio chini ya Wizara ya Maliasili na Utalii, umekabidhi mizinga  ya kisasa 300, vifaa mbalimbali vya kufugia nyuki na kusindika asali  vyenye gharama ya shilingi milioni 50 kwa Jumuiya za Hifadhi ya Wanyamapori (WAGA). Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi, Dkt. Pindi…

Read More

Madiwani Kasulu sasa wanatumia IPad vikaoni

Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma leo Jumanne Septemba 10,2024imetekeleza mpango wa kuhama kutoka katika uendeshaji wa vikao  vya mabaraza yamadiwani kwa kutumia makabrasha na kuanzakutumia vishikwambi. Ambapo jumla ya vishikwambi 70 vilimenunuliwa na kugawiwa kwa waheshimiwa madiwani,Kamati ya Uinzi na Usalama yaWilaya ya Kasulu,wakuu wa divisheni navitengo pamoja na baadhi ya viongozi Chama…

Read More

TANESCO SACCOS YAKABIDHI MSAADA WA MASHUKA YA MILIONI 25 KWA HOSPITALI ZA DAR ES SALAAM

 Na  Mwandishi wetu  CHAMA cha Ushirika wa Akiba na Mikopo cha Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO SACCOS),kimetoa mashuka ya vitanda zaidi ya 1000 kwa lengo la kuboresha hali na faraja kwa wagonjwa katika Hospitali sita. katika maeneo mbalimbali nchini. Miongoni mwa hospitali hizo ni pamoja na Mwananyamala,Temeke,Ilala,Njombe,Simiyu na Katavi hii ikiwa ni kuunga mkono jitihada…

Read More