Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Day: September 11, 2024

  • Home
  • 2024
  • September
  • 11
Kimataifa

Jinsi ya kuongoza kasi mpya ya kimataifa ya nishati mbadala – Masuala ya Ulimwenguni

September 11, 2024 Admin

“Ripoti ya leo kutoka kwa Jopo juu ya Madini Muhimu ya Mpito wa Nishati ni mwongozo wa jinsi ya kusaidia kuzalisha ustawi na usawa pamoja

Read More
Habari

CCM yahimiza wanachama, wananchi kujiandikisha Daftari la Wapigakura

September 11, 2024 Admin

Pemba. Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) – Zanzibar, Dk Mohamed Said Dimwa amesema tiketi ya kupiga kura ni kuwa na kitambulisho, hivyo

Read More
Habari

Majaliwa aalika wawekezaji kushiriki uchumi wa buluu

September 11, 2024 Admin

Dar es Salaam. Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ametoa wito kwa wawekezaji wa ndani na nje kushiriki katika uchumi wa buluu, akisisitiza fursa kubwa za uwekezaji

Read More
Habari

Wasimulia Askofu Sendoro alivyovunja makundi Dayosisi ya Mwanga ilipozaliwa

September 11, 2024 Admin

Moshi. “Nguzo imeanguka,” hivyo ndivyo  unavyoweza kusema baada ya wachungaji wa Dayosisi ya Mwanga ya Kanisa la Kiinjili la kilutheri Tanzania (KKKT), kusimulia namna Askofu

Read More
Burudani

Ununio: Eneo lenye mandhari nzuri, giza na mikasa ya kuokotwa maiti

September 11, 2024 Admin

Dar es Salaam. Ununio ni moja ya maeneo yaliyopo wilayani Kinondoni, Dar es Salaam, likiwa kaskazini mwa Jiji jirani na Bahari ya Hindi. Eneo hili

Read More
Habari

Chadema, ACT-Wazalendo waibana Serikali | Mwananchi

September 11, 2024 Admin

Dar es Salaam. Vyama vya Chadema na ACT- Wazalendo vimeibana Serikali, vikitaka hatua kuchukuliwa kushughulikia na kukomesha vitendo vya utekaji au watu kupotea katika mazingira

Read More
Habari

BASHE:MPINA CHEZEA SEKTA NYINGINE LAKINI SIO KILIMO, UWE NA SHUKRANI

September 11, 2024 Admin

Na Mwandishi Wetu,Igunga WAZIRI wa Kilimo Husein Bashe amemtumia salamu Mbunge wa Kisesa Luhaga Mpina kuwa awe na shukrani kwa Serikali na kumtaka achezee sekta

Read More
Habari

DC ashtukia uchafu wa mashuka hospitali za umma

September 11, 2024 Admin

Arusha. Serikali imesema itachukua hatua kali dhidi ya wahudumu wa afya watakaoshindwa kudumisha usafi na kusababisha mashuka kutumika yakiwa machafu na kufubaa rangi kwenye hospitali za

Read More
Habari

RAIS SAMIA AIPA “SERENGETI GIRLS” MILIONI 30

September 11, 2024 Admin

 RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dk Samia Suluhu Hassan ametoa kiasi cha Million 30 kwa timu Taifa ya wasichana ‘Serengeti Girls’, baada

Read More
Habari

Sarafu mtandao zawaingiza matatani walimu wanne, mfanyabiashara

September 11, 2024 Admin

Dodoma. Walimu wanne na mfanyabiashara mmoja wanashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kuwatapeli wananchi kwa kuwadanganya kuwekeza katika sarafu za kimtandao (cryptocurrency), kisha kutoweka na

Read More

Posts pagination

1 2 … 13 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.