Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Day: September 12, 2024

  • Home
  • 2024
  • September
  • 12
Kimataifa

Zaidi ya 22,500 wamepata 'majeraha ya kubadilisha maisha' huko Gaza: WHO – Masuala ya Ulimwenguni

September 12, 2024 Admin

Hizi ni pamoja na majeraha makubwa ya viungo, kukatwa viungo, kiwewe cha uti wa mgongo, majeraha ya kiwewe ya ubongo na majeraha makubwa ya moto.

Read More
Habari

Mitaala 96 Udsm yapitiwa upya iendane na wakati

September 12, 2024 Admin

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) kimefanya maboresho ya mitaala 96 kwa kuipitia upya ili iendane na soko la

Read More
Habari

Saudi Arabia yarejesha tabasamu kwa watoto 30 wenye matatizo ya moyo

September 12, 2024 Admin

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Watoto 30 kutoka maeneo mbalimbali nchini wamefanyiwa upasuaji mkubwa wa moyo katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) huku

Read More
Habari

HAKIELIMU YAZINDUA MRADI WA MAJARIBIO KUWEZESHA WALIMU KUFUNDISHA KWA VITENDO

September 12, 2024 Admin

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV SHIRIKA la HakiElimu Tanzania limezindua mradi wa majaribio ambao umelenga kukuza ufundishaji wa walimu,kupitia teknolojia ambayo itamwezesha Mwanafunzi kupata picha

Read More
Kimataifa

Kesho Bora na Ushirikiano wa Kusini-Kusini – Masuala ya Ulimwenguni

September 12, 2024 Admin

Credit: Umoja wa Mataifa Maoni na Dima Al-Khatib (umoja wa mataifa) Alhamisi, Septemba 12, 2024 Inter Press Service UMOJA WA MATAIFA, Sep 12 (IPS) –

Read More
Habari

PPAA MGUU SAWA KUTOA ELIMU KWA WAZABUNI KATIKA KANDA

September 12, 2024 Admin

Katika jitihada za kuwafikia wadau wa ununuzi wa umma hususan wazabuni, Mamlaka ya Rufani ya Zabuni za Umma (PPAA) imeweka mkakati wa kutoa elimu kwa

Read More
Habari

NAIBU WAZIRI PINDA AKABIDHI HUNDI YA MIL 45 KUTOKA CRDB KWA WAJARIAMALI MPIMBWE

September 12, 2024 Admin

Na Munir Shemweta, WANMM MLELE Mbunge wa jimbo la Kavuu na Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Geophrey Pinda amekabidhi hundi

Read More
Habari

KAMATI YA BUNGE YA MAJI NA MAZINGIRA YAIPONGEZA TANGA-UWASA

September 12, 2024 Admin

Na Mwandishi Wetu KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Maji na Mazingira ikiongozwa na Mwenyekiti wake Jackson Kiswaga imetoa pongezi kwa Mamlaka ya majisafi na

Read More
Magazeti

PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO SEPTEMBA 13,2024

September 12, 2024 Admin

Home ยป PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO SEPTEMBA 13,2024 About the author

Read More
Habari

Serikali yavuna Sh1.8 trilioni sekta ya uziduaji

September 12, 2024 Admin

Dar es Salaam. Serikali imevuna jumla ya Sh1.877 trilioni kutoka kwa kampuni 44 zilizohusishwa katika sekta ya madini, mafuta, na gesi, huku tofauti kati ya

Read More

Posts pagination

1 2 … 13 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.