12 Septemba 2024
https://p.dw.com/p/4kYk8
Alimshinda Domingos Simoes Pereira akiwa na asilimia 54 ya kura na alistahili muhula mwingine madarakani.
Tangazo lake la kushutukiza linaweza kusababisha ombwe la uongozi na kuzidisha machafuko ya kisiasa katika nchi hiyo iliyowahi kutikiswa na mapinduzi yenye wakaazi takriban milioni mbili.
Soma pia:Rais wa Guinea-Bissau amfuta kazi mkuu wa majeshi kwa jaribio la mapinduzi
Embalo, aliingia madarakani wakati kukiwa na mgogoro wa kisiasa wa muda mrefu katika nchi ambayo mapinduzi na machafuko yamekuwa ni ya kawaida tangu ilipopata uhuru kutoka kwa Ureno mwaka 1974.