Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Day: September 13, 2024

  • Home
  • 2024
  • September
  • 13
Habari

DC Mayanja: Wananchi wapewe elimu ya bima kuepuka majanga

September 13, 2024 Admin

Dodoma. Mamlaka ya Usimamizi wa Bima nchini (Tira) kwa kushirikiana na wadau wa bima imeshauriwa kutoa elimu ya bima kwa wananchi hasa yanapotokea majanga kwa

Read More
Habari

Bashe, Mpina uso kwa uso, wakubaliana kuacha siasa

September 13, 2024 Admin

Dar es Salaam. Baada ya kutoleana vijembe ndani na nje ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, hatimaye Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe na mbunge

Read More
Habari

Dk Biteko aitupia jicho wizara yake matumizi nishati safi

September 13, 2024 Admin

Dodoma. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Doto Biteko ameagiza majengo ya wizara hiyo na taasisi zilizo chini yake kuweka miundombinu ya umeme

Read More
Habari

Yanayokwamisha ufanisi wa ATCL yatajwa

September 13, 2024 Admin

Dar es Salaam. Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) kukosa umiliki wa viwanja, kutumia ndege kubwa kwa safari za ndani na bei ya nauli kuwa juu,

Read More
Habari

Mwanafunzi aliyeuawa vurugu za wananchi, polisi Mbogwe azikwa

September 13, 2024 Admin

Geita. Vilio vimetawala mazishi ya Theresia John (18), mwanafunzi wa kidato cha nne aliyepoteza maisha kwa kupigwa risasi akiwa nyumbani kwao, Kijiji cha Lulembela wilayani

Read More
Michezo

Uhamiaji, Kipanga zaangukia pua ZPL

September 13, 2024 Admin

WAKATI maafande wa Zimamoto na JKU wakishuka uwanjani jioni ya leo katika mfululizo wa mechi za Ligi Kuu ya Zanzibar, juzi Kipanga na Uhamiaji zilipata

Read More
Habari

Airpay Tanzania yadhamini Tamasha la Pili la Fahari ya Zanzibar

September 13, 2024 Admin

Na Esther Mnyika, Mtanzania Digital Kampuni ya Airpay Tanzania imetangaza udhamini wake katika tamasha la pili la Fahari ya Zanzibar, linalotarajiwa kufanyika kuanzia Septemba 20

Read More
Habari

Tozo saba zapunguzwa mnada wa korosho ukikaribia kuanza

September 13, 2024 Admin

Mtwara. Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Korosho Tanzania, Francis Alfred ametangaza kuanza kwa minada ya korosho ghafi nchini ifikapo Oktoba 11, 2024. Alfred amebainisha hayo

Read More
Michezo

Patrick Aussems aanza kunogewa Bara

September 13, 2024 Admin

LICHA ya kuwa na mwanzo mzuri katika Ligi Kuu Bara, Singida Black Stars wanajua bado wana kazi kubwa mbele yao. Kocha wa timu hiyo, Patrick

Read More
Habari

Bashe na Mpina: Maendeleo kwanza, siasa pembeni

September 13, 2024 Admin

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital “Wananchi wa Kisesa tunaenda kuandika historia kubwa kwenye nchi yetu, tupo kwenye mkutano huu pamoja kwa ajili ya maendeleo. Waziri

Read More

Posts pagination

1 2 … 12 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.