Dodoma. Mamlaka ya Usimamizi wa Bima nchini (Tira) kwa kushirikiana na wadau wa bima imeshauriwa kutoa elimu ya bima kwa wananchi hasa yanapotokea majanga kwa
Day: September 13, 2024

Dar es Salaam. Baada ya kutoleana vijembe ndani na nje ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, hatimaye Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe na mbunge

Dodoma. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Doto Biteko ameagiza majengo ya wizara hiyo na taasisi zilizo chini yake kuweka miundombinu ya umeme

Dar es Salaam. Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) kukosa umiliki wa viwanja, kutumia ndege kubwa kwa safari za ndani na bei ya nauli kuwa juu,

Geita. Vilio vimetawala mazishi ya Theresia John (18), mwanafunzi wa kidato cha nne aliyepoteza maisha kwa kupigwa risasi akiwa nyumbani kwao, Kijiji cha Lulembela wilayani

WAKATI maafande wa Zimamoto na JKU wakishuka uwanjani jioni ya leo katika mfululizo wa mechi za Ligi Kuu ya Zanzibar, juzi Kipanga na Uhamiaji zilipata

Na Esther Mnyika, Mtanzania Digital Kampuni ya Airpay Tanzania imetangaza udhamini wake katika tamasha la pili la Fahari ya Zanzibar, linalotarajiwa kufanyika kuanzia Septemba 20

Mtwara. Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Korosho Tanzania, Francis Alfred ametangaza kuanza kwa minada ya korosho ghafi nchini ifikapo Oktoba 11, 2024. Alfred amebainisha hayo

LICHA ya kuwa na mwanzo mzuri katika Ligi Kuu Bara, Singida Black Stars wanajua bado wana kazi kubwa mbele yao. Kocha wa timu hiyo, Patrick

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital “Wananchi wa Kisesa tunaenda kuandika historia kubwa kwenye nchi yetu, tupo kwenye mkutano huu pamoja kwa ajili ya maendeleo. Waziri