
PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO SEPTEMBA 15,2024
Home » PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO SEPTEMBA 15,2024 About the author
Home » PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO SEPTEMBA 15,2024 About the author
Takwimu za magonjwa yasiyoambukiza ya mwaka 2012 inaonesha watanzania asilimia 9 wanaishi na wagonjwa ya kisukari huku asilimia 26 wana magonjwa ya moyo . Hayo ameyasema leo Jijini Dar es salaam Happy Nchimbi Meneja mradi Shirikisho la vyama vya magonjwa Yasiyoambukiza (TANCDA) kwenye semina ya iliyoandaniliwa na TANCDA baina ya waandishi wa habari na Wasanii…
Nimwendelezo wa Wananchi kumuunga Mkono Mkaguzi kata ya Kisangura Wilaya Serengeti Mkoa wa Mara Mkaguzi Msaidizi wa Polisi A/Insp Genuine Kimario ambapo wananchi na wadau wenye mapenzi mema wameendelea kuungana na Mkaguzi huyo kwa kutoa viti mwendo. A/INSP Kimario amebainisha kuwa licha yakuwa na dhamana ya kuhakikisha wananchi hao wako salama na mali zao amewaka…
Balozi wa Tanzania nchini Uholanzi Mhe. Caroline Kitana Chipeta akipongezwa na Meya wa Mji wa The Hague kwa Tanzania kuwa kivutio kikubwa kwenye Tamasha la Mabalozi 2024 (Embassy Festival) nchini Uholanzi lililovutia watazamaji zaidi ya 50,000 mjini The Hague. Balozi wa Tanzania nchini Uholanzi Mhe. Caroline Kitana Chipeta akiwa kavalia mavazi ya asili ya mwanamke wa kimwambao kwenye…
Tume huru ya Taifa ya Uchaguzi imewataka watendaji Mkoa wa Manyara kutumia elimu na ujuzi walioupata kwenye mafunzo ya uandikishaji wa zoezi la uboreshaji wa daftari la kudumu la mpiga kura ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025. Akizungumza katika mafunzo kwa watendaji hao Jaji wa Mahakama kuu Tanzania, Asina Omar…
ZIARA ya ukaguzi wa skimu za umwagiliaji na maendeleo ya upembuzi yakinifu wa skimu za umwagiliaji imeendelea leo tarehe 14 Septemba 2024 katika Wilaya za Nzega na Igunga, Mkoani Tabora. Akikagua eneo linalotarajiwa kujengwa bwawa la maji lenye ukubwa wa hekta 3,205 na ujenzi wa mifereji ya kusafirisha maji, Mhe. Hussein Bashe (Mb), Waziri wa…
Katika muendelezo wa jitihada zake za kuchangia ukuaji wa sekta za kimkakati na hatimae maendeleo ya nchi kwa ujumla, Benki ya CRDB leo imesaini makubaliano ya kuwezesha mradi mkubwa zaidi wa uchimbaji wa madini ya grafiti nchini Tanzania. Mkataba huo umesainiwa jijini Johannesburg nchini Afrika ya Kusini ambapo mradi huo chini ya kampuni ya Faru…
MAAFISA Ugani 23 wa Wilaya ya Igunga, mkoani Tabora wamepewa moyo na Waziri wa Kilimo, Mhe. Hussein Bashe (Mb) na kuelezwa Serikali imewekeza vitendea kazi vya pikipiki, vishikwambi, soil scanners kwa ajili ya upimaji wa afya ya udongo na programu ya kujenga nyumba zao. Amesema hayo tarehe 14 Septemba 2024 wakati wa ziara yake katika…
Mamlaka ya Maji Safi na usafi wa mazingira Bukoba (BUWASA) imekabidhi mradi wa uboreshaji wa huduma ya maji kwa ukanda wa juu kwa mkandarasi Daniel Lameck wa Kampuni ya Nice construction and general supplies limited ambao unatarajia kukamilika baada ya miezi 18 Mkurugenzi Mtendaji wa mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira Bukoba (BUWASA)…
Songwe. Wadau wa afya nchini wameeleza mchango wa Dk Daimond Simbeye aliyekuwa mtaalamu wa afya ya umma hasa tohara ya matibabu ya kiume ya hiari (VMVC), inayochangia kupunguza maambukizi ya Virusi vya Ukimwi kwa asilimia 60. Dk Simbeye (56) aliyezikwa katika Kijiji cha Mbulu wilayani Mbozi, alifariki Septemba 9, 2024 baada ya kuugua ghafla na…