Mbinu zaibeba Simba ugenini | Mwanaspoti

SIMBA imemaliza salama dakika 90 za kwanza za mchezo wa raundi ya pili ya Kombe la Shirikisho, huku shukrani zikienda kwa mbinu alizozitumia kocha Fadlu Davids za timu hiyo kufunguka mwanzo mwisho ziliipa sare isiyo na mabao mbele ya wenyeji wao, Al Ahli Tripoli ya Libya. Katika mchezo huo uliopigwa kwenye Uwanja wa Kimataifa wa…

Read More

SERIKALI YAAHIDI KUKUZA SEKTA YA UTALII KUPITIA NaPA

Na Mwandishi Wetu, WHMTH, Arusha. Serikali kupitia Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari imesema miongoni mwa maeneo ya vipaumbele vya Wizara chini ya Mfumo wa Anwani za Makazi ni kushiriki kikamilifu katika kukuza Sekta ya Utalii nchini. Kauli hiyo imetolewa leo tarehe 15 Septemba, 2024 na Bw. Mulembwa Munaku, Mkurugenzi wa Mawasiliano wa…

Read More

TBS WAENDELEA KUWANOA WAJASIRIAMALI MAONESHO YA 19 YA KIMATAIFA YA BIASHARA AFRIKA MASHARIKI MWANZA

Na Mwandishi Wetu Mwanza WAZIRI wa Viwanda na Biashara, Dkt. Selemani Jafo, amelitaka Shirika la Viwango Tanzania (TBS) kuendeleza jitihada za kuhakikisha wajasiriamali nchini wanafikia malengo yao. Waziri Dkt. Jafo alitoa kauli hiyo kwenye Maonesho ya 19 Kimataifa ya Biashara ya Afrika Mashariki yaliyofanyika kwenye Viwaja vya Furahisha, jijini Mwanza ambayo yalianza Septemba 6, mwaka…

Read More

Serikali ilivyovuna mabilioni faini za barabara, mali za Sh2.3 bilioni zikitaifishwa

Dar es Salaam. Ripoti ya uhalifu na makosa ya usalama barabarani ya mwaka 2023 imebainisha kuwa Serikali ya Tanzania imeingiza zaidi ya Sh3.82 bilioni kupitia faini mbalimbali zilizolipwa mahakamani. Kiasi hicho cha fedha kimekusanywa kutokana na makosa mbalimbali, huku sekta zinazohusiana na mazao ya misitu, nyara za Serikali na usalama barabarani zikiongoza. Pia, mali zenye…

Read More