9 wafa, maelfu wajeruhiwa kwenye mlipuko wa “pager” – DW – 18.09.2024

Waziri wa Afya wa Lebanon Firas Fabias amethibitisha idadi hiyo ya vifo, ambavyo miongoni mwake ni msichana. Amesema watu wasiopungua 2,750 wamejeruhiwa na zaidi ya 200 wana hali mbaya kwenye maeneo mbalimbali nchini Lebanon na hasa yanayodhibitiwa na kundi la wanamgambo la Hezbollah. Wanamgambo wa Hezbollah pia wauawa Kundi la wanamgambo wa Hezbollah limesema wapiganaji wake…

Read More

BALOZI NCHIMBI ASHIRIKI KIKAO CHA BARAZA KUU LA UVCCM

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi leo ameshiriki kikao cha kawaida cha Baraza Kuu la Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) na mafunzo kwa Wajumbe wa Baraza Kuu. Kikao hicho kiliongozwa na Mwenyekiti wa UVCCM Taifa, Komredi Mohammed Ali Mohammed (Kawaida), kilifanyika katika Ukumbi wa Halmashauri Kuu ya CCM…

Read More

Dk Chami azikwa kijijini kwao Urori, Hai

Moshi. Vilio na simanzi vimetawala kwenye mazishi ya Dk Dismas Chami (32) ambaye amezikwa leo Septemba 17, 2024 kwenye makaburi ya familia yaliyopo katika Kijiji cha Urori, Kata ya Machame Narumu, Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro. Mwili wa Dk Chami, ambaye ni daktari wa Kituo cha Afya cha Ulyankulu, ulipatikana Septemba 13, 2024 baada ya…

Read More

ECW Inatoa Elimu Kamili Dhidi ya Matatizo Yote, Lakini Ufadhili Zaidi Unaohitajika – Masuala ya Ulimwenguni

Wanafunzi hutangamana na Mkurugenzi Mtendaji wa ECW, Yasmine Sherif, wanaposhiriki katika kipindi cha tiba ya sanaa katika shule inayofadhiliwa na ECW huko Kyiv, Ukrainia. Kwa ushirikiano na UNICEF Ukraine na Caritas Ukraine, shule inatoa msaada muhimu wa afya ya akili na kisaikolojia. Mkopo: ECW na Mwandishi wa IPS (umoja wa mataifa) Jumanne, Septemba 17, 2024…

Read More