Kijana alivyonusurika kushambuliwa akidhaniwa mwizi wa mtoto

Mwanza/Mbeya. Matukio ya watu kushambuliwa, kujeruhiwa na wakati mwingine kufariki dunia kwa kudhaniwa kuwa ni wezi wa watoto, yameendelea kushika kasi ambapo Msafiri Msekwa (25) amenusurika kushambuliwa na kundi la watu akidhaniwa mwizi wa mtoto. Msafiri amesema alihisiwa mwizi wa mtoto baada ya kumsaidia mtoto mmoja aliyehitaji msaada wa kufikishwa kwa mama yake. “Ilikuwa saa…

Read More

Mila potofu Pwani zinavyochangia upofu

Pwani. Shirika la Kimataifa la Sightsavers limesema mila potofu au uoga umechangia watu kutotoa ushirikiano wanapobainika kuwa na ugonjwa wa vikope, umesababisha baadhi yao kuwa vipofu. Hayo yamesemwa leo Jumatano Septemba 18, 2024 na meneja miradi wa magonjwa yaliyokuwa hayapewi kipaumbele (NTDs), Peter Kivumbi alipokutana na mmoja wa wanafamilia ya Kifalme ya Uingereza, Sophie Helen…

Read More

73 wapenya, kuchuana kanda tatu za Chadema

Dar es Salaam. Watia nia 73 wameteuliwa na Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kuwania nafasi mbalimbali katika kanda tatu za chama hicho. Hatua hiyo imefikiwa baada ya usaili wa watia nia 79 kutoka Kanda ya Pwani inayoundwa na mikoa ya (Dar es Salaam na Pwani), Kusini (Mtwara, Ruvuma na Lindi) na…

Read More

Polisi walivyotinga kupekua nyumbani kwa Boni Yai

Dar es Salaam. Msafara wa magari ya polisi uliombeba aliyekuwa meya wa zamani wa Ubungo, Boniface Jacob maarufu ‘Bon Yai’ ukiwasili nyumbani kwake Mbezi Msakuzi kwa ajili ya upekuzi. Msemaji wa Polisi, David Misime amesema wanamshikilia kwa makosa mbalimbali ya jinai. “Jeshi la Polisi limemkamata na linamshikilia Boniface Jacob, mkazi wa Mbezi kwa Msakuzi, jijini…

Read More