Mwanza/Mbeya. Matukio ya watu kushambuliwa, kujeruhiwa na wakati mwingine kufariki dunia kwa kudhaniwa kuwa ni wezi wa watoto, yameendelea kushika kasi ambapo Msafiri Msekwa (25)
Day: September 18, 2024

Pwani. Shirika la Kimataifa la Sightsavers limesema mila potofu au uoga umechangia watu kutotoa ushirikiano wanapobainika kuwa na ugonjwa wa vikope, umesababisha baadhi yao kuwa

Dar es Salaam. Watia nia 73 wameteuliwa na Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kuwania nafasi mbalimbali katika kanda tatu za chama

Dar es Salaam. Mahakama Kuu, Masjala ya Dar es Salaam, imetupilia mbali ombi lililowasilishwa na Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina la kuomba Mahakama hiyo imruhusu

Dar es Salaam. Msafara wa magari ya polisi uliombeba aliyekuwa meya wa zamani wa Ubungo, Boniface Jacob maarufu ‘Bon Yai’ ukiwasili nyumbani kwake Mbezi Msakuzi

NA MWANDISHI WETU MDHAMINI Mkuu wa Tamasha la Kariakoo ‘Kariakoo Festival 2024,’ Benki ya NMB, imeahidi maboresho na udhamini mnono zaidi wa tamasha hilo linalofanyika

Dar es Salaam. Tanzania inatarajia kuwa mwenyeji wa mkutano wa Kimataifa wa 11 wa Merck Foundation Afrika Asia Luminary 2024 utakaowakutanisha wake wa marais wa

MISHI Ramadhani Mzaka, Binti wa Kitanga baada ya kupewa lifi na dereva wa malori, aitwaye Musa, anamvutia mwanaume huyo…. Mwanaume anamtumia muamala kwenye simu, binti

Longido. Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda ameibua tuhuma za ubadhirifu wa zaidi ya Sh1.3 bilioni zilizotumika katika utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa