Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Day: September 18, 2024

  • Home
  • 2024
  • September
  • 18
Habari

Kijana alivyonusurika kushambuliwa akidhaniwa mwizi wa mtoto

September 18, 2024 Admin

Mwanza/Mbeya. Matukio ya watu kushambuliwa, kujeruhiwa na wakati mwingine kufariki dunia kwa kudhaniwa kuwa ni wezi wa watoto, yameendelea kushika kasi ambapo Msafiri Msekwa (25)

Read More
Habari

Mila potofu Pwani zinavyochangia upofu

September 18, 2024 Admin

Pwani. Shirika la Kimataifa la Sightsavers limesema mila potofu au uoga umechangia watu kutotoa ushirikiano wanapobainika kuwa na ugonjwa wa vikope, umesababisha baadhi yao kuwa

Read More
Habari

73 wapenya, kuchuana kanda tatu za Chadema

September 18, 2024 Admin

Dar es Salaam. Watia nia 73 wameteuliwa na Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kuwania nafasi mbalimbali katika kanda tatu za chama

Read More
Habari

Mahakama yatupilia mbali ombi la Mpina, kesi kusikilizwa Oktoba mosi

September 18, 2024 Admin

Dar es Salaam. Mahakama Kuu, Masjala ya Dar es Salaam, imetupilia mbali ombi lililowasilishwa na Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina la kuomba Mahakama hiyo imruhusu

Read More
Habari

Polisi walivyotinga kupekua nyumbani kwa Boni Yai

September 18, 2024 Admin

Dar es Salaam. Msafara wa magari ya polisi uliombeba aliyekuwa meya wa zamani wa Ubungo, Boniface Jacob maarufu ‘Bon Yai’ ukiwasili nyumbani kwake Mbezi Msakuzi

Read More
Habari

Kariakoo Festival yafunguliwa, NMB yaahidi udhamini mnono zaidi 2025

September 18, 2024 Admin

NA MWANDISHI WETU MDHAMINI Mkuu wa Tamasha la Kariakoo ‘Kariakoo Festival 2024,’ Benki ya NMB, imeahidi maboresho na udhamini mnono zaidi wa tamasha hilo linalofanyika

Read More
Habari

Wenza wa marais zaidi ya nchi 15 kujadili afya ya uzazi, mtoto Tanzania

September 18, 2024 Admin

Dar es Salaam.  Tanzania inatarajia kuwa mwenyeji wa mkutano wa Kimataifa wa 11 wa Merck Foundation Afrika Asia Luminary 2024 utakaowakutanisha wake wa marais wa

Read More
Habari

JESHI LA POLISI LAMSHIKILIA BONIFACE JACOB

September 18, 2024 Admin
Read More
Michezo

HADITHI: Bomu Mkononi – 3

September 18, 2024 Admin

MISHI Ramadhani Mzaka, Binti wa Kitanga baada ya kupewa lifi na dereva wa malori, aitwaye Musa, anamvutia mwanaume huyo…. Mwanaume anamtumia muamala kwenye simu, binti

Read More
Habari

Mchengerwa, Makonda wanusa ubadhirifu Samia Girls, DED akalia kuti kavu

September 18, 2024 Admin

Longido. Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda ameibua tuhuma za ubadhirifu wa zaidi ya Sh1.3 bilioni zilizotumika katika utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa

Read More

Posts pagination

1 2 … 12 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.