WAZAZI NA WALEZI SHIRIKIANENI NA WALIMU WA MADRASA KUWALINDA WATOTO NA VITENDO VYA UDHALILISHAJI

NA FAUZIA MUSSA WAZAZI na walezi wametakiwa kushirikiana na walimu wa madrasa kuwalinda watoto wao na vitendo vya udhalilishaji ambavyo bado  vinaonekana kuwepo nchini. Mbunge wa Jimbo la Chaani, Juma Usonge Hamadi aliyasema hayo alipokuwa akizungumza na walimu, wazazi na wanafunzi wa madrasat Nuru-l-huda  wakati wa  ufunguzi wa madrasa  hiyo  uiyoambatana na kusherehekea  mazazi ya…

Read More

WALIOATHIRIWA NA UPEPO WAPATIWA MSAADA TUMBATU

NA FAUZIA MUSSA Serikali kwa kushirikiana na wadau mbalimbali inaendelea kuzifariji familia 98 zilizoathiriwa na upepo mkali uliovuma katika kijiji cha Tumbatu siku za karibuni. Kufuatia tukio hilo lililotokea mwishoni mwa mwezi wa Agosti, Taasisi ya Sister Island imekabidhi kilo 1350 za mchele kwa wananchi hao. Akizungumza mara baada ya kukabidhi chakula hicho, huko Kichanagani…

Read More

TOFAUTI ZETU ZISIONDOE AMANI YETU – DKT BITEKO

 -Asisitiza Amani, Uvumilive na Kuheshimiana Miongoni mwa Watanzania  -Serikali Yaipongeza JMAT kwa Kuhimiza Amani Nchini  -Ahimiza Uchaguzi Kuunganisha Watanzania Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amewataka Watanzania kulinda na kudumisha amani iliyopo nchini kwa kuzingatia misingi ya upendo, uvumilivu na…

Read More

Mambo matatu kuchochea uwekezaji Zanzibar

Unguja. Wakati Mamlaka ya Kukuza Uwekezaji Zanzibar (Zipa) ikisajili miradi mipya ya uwekezaji 353 yenye thamani ya Dola za 5.5 bilioni za Marekani (Sh14.99 trilioni), uwepo wa amani na kuimarika kwa miundombinu ya kiuchumi na huduma za kijamii vinatajwa kuvutia mitaji mikubwa ya uwekezaji kutoka nje. Miradi hiyo iliyosajiliwa kwa kipindi cha miaka mitatu ya…

Read More

DC KARATU AWATAKA WANANCHI KUJIANDAA KUJIANDIKISHA KWENYE DAFTARI LA WAKAZI LA MPIGA KURA.

  Na. Vero Iganatus Mkuu Wa Wilaya Ya Karatu Mhe. Dadi   Kolimba awataka wanchi wa wilaya ya Karatu kutokeza kujiandikisha katika daftari la wakazi la wapiga kura zoezi ambalo linatarajiwa kuanza tarehe 11/10/2024 hadi tarehe 20/10/2024.  Mhe.Kolimba amesema zoezi hilo ni muhimu sana kwa wakazi wa wilaya ya Karatu kwani  litawapa fursa ya kuwachagua viongozi…

Read More