
PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO SEPTEMBA 23,2024
Home » PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO SEPTEMBA 23,2024 About the author
Home » PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO SEPTEMBA 23,2024 About the author
VIONGOZI wa Kimila kutoka mikoa mbalimbali nchini, wamemshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuanzisha Tamasha la Utamaduni la Kitaifa pamoja na kuongeza thamani ya viongozi wa mila iliyoonekana kushuka kwa miaka mingi. Anaripoti Mwandishi Wetu, Ruvuma … (endelea). Wamesema hatua hiyo ya kuthamini, kufufua misingi na kuenzi tamaduni zilizokuwa zimeanza kuwekwa kando itasaidia kwa…
RAIS mstaafu wa awamu ya nne, Jakaya Kikwete, anatarajiwa kuongoza harambee ya kuchangia matibabu ya watoto 1,500 wanaougua magonjwa mbalimbali ya moyo ili wapate matibabu kwenye Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI). Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). Hayo yalisemwa mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam na Naibu Spika wa…
Na Imani Nathaniel Kampuni ya Mawasiliano ya Halotel Tanzania ikishirikiana na Ubalozi wa Vietnam Tanzania imefanya ziara maalumu katika kituo cha watoto yatima wenye ulemavu cha Human Dreams Children Village na kutoa msaada. Wafanyakazi wa Halotel wakishirikiana na Ubalozi wa Vietnam Tanzania walifika katika kituo hicho kilichopo Kigamboni na kutoa msaada wa vifaa mbalimbali, vikiwemo…
HII ndio Simba tunayoitaka. Ndivyo baadhi ya kauli za mashabiki waliojazana kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, wakati Simba ikiing’oa Al Ahli Tripoli ya Libya kwa mabao 3-1 na kutinga kibabe katika hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika. Mashujaa wa pambano hilo lililokuwa tamu na la kusisimua walikuwa ni Kibu Denis, Lionel Ateba na…
Chama cha Kansela Olaf Scholz cha Social Democratic SPD kimepata ushindi mwembamba katika uchaguzi wa jimbo la Brandenburg. SPD kiko mbele ya chama cha siasa kali za mrengo wa kulia cha AfD kwa mujibu wa matokeo ya awali yaliyotangazwa jioni hii Jumapili, 22.09.2024. Chama cha SPD kikiongozwa na mgombea wake katika jimbo hilo Dietmar Woidke…
Picha ya Umoja wa Mataifa/Loey Felipe Mkutano wa Siku za Hatua za Baadaye. Jumapili, Septemba 22, 2024 Habari za Umoja wa Mataifa Viongozi wa dunia wako kwenye Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa mjini New York Jumapili hii ambapo viongozi wa dunia wametoka tu kupitisha Mkataba wa Baadaye kwa maafikiano – huku kundi dogo la…
Dar es Salaam. Ikiwa zimepita siku nne tangu dunia iadhimishe kumbukizi ya siku ya usalama wa wagonjwa, Zanzibar imeweka wazi magonjwa 10 yaliyoongoza kwa watu wake kutibiwa sana hospitalini kwa miaka mitatu mfululizo kati ya 2021 hadi 2023. Magonjwa hayo yamewekwa bayana kupitia ripoti ya Zanzibar Abstract 2023 iliyochapishwa na Ofisi ya Mtakwimu Mkuu wa…
Dar es Salaam. Serikali na Mamlaka ya Dawa na Vifaatiba Tanzania (TMDA) zimetoa tahadhari ya matumizi ya dawa za kufubaza makali ya virusi vya Ukimwi (ARVs) kunenepesha mifugo, ikitajwa kuwa ni athari kwa afya ya jamii. Mbali na usugu unaosababishwa na ARV, utafiti uliofanyika mwaka 2018 ulionyesha kuwa asilimia 90 ya wafugaji wanatumia dawa za…
IDADI ya wachezaji wa Tanzania Prisons kutamani kustaafu soka imeendelea kuongezeka baada ya Salum Kimenya, kuonesha nia ya kutundika daruga ili kugeukia shughuli nyingine nje ya uwanja. Hata ya Kimenya anayemudu kucheza kama beki na winga wa kulia, imekuja baada ya Benjamin Asukile kutundika daruga tangu kumalizika msimu uliopita na kugeukia ukocha ambapo kwa sasa…