'Tunahitaji Uchaguzi Wenye Ushindani ili Nchi Zilizojitolea Kweli Pekee Zichaguliwe kwa Baraza la Haki za Kibinadamu la Umoja wa Mataifa' — Masuala ya Ulimwenguni

Madeleine Sinclair na CIVICUS Alhamisi, Septemba 26, 2024 Inter Press Service Septemba 26 (IPS) – CIVICUS inajadili uchaguzi ujao wa wanachama wapya wa Baraza la Haki za Kibinadamu la Umoja wa Mataifa (UN) na Madeleine Sinclair, Mkurugenzi wa Ofisi ya New York na Mshauri wa Kisheria katika Huduma ya Kimataifa ya Haki za Kibinadamu (ISHR)….

Read More

HII HAPA SABABU YA NAOMI KUPIGWA MARUFUKU MIAKA 5 KUDHAMINI FASHION FOR RELIEF – MWANAHARAKATI MZALENDO

    Mwanamitindo maarufu duniani Naomi Campbell (54), amepigwa marufuku ya miaka 5 kuwa Mdhamini wa Shirika la hisani alilolianzisha kwa ajili ya kutoa misaada ya kupunguza umasikini.     Uamuzi huo umefikiwa baada ya uchunguzi wa kina kupata ushahidi wa kutosha wa matumizi mabaya ya fedha ndani ya Shirika hilo lijulikanalo kama “Fashion for…

Read More

Kumradhi Waziri Lukuvi – Mwanahalisi Online

  KATIKA toleo la 26 Septemba mwaka huu, gazeti la MwanaHALISI liliripoti katika ukurasa wa mbele, kuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu), William Lukuvi, anataka Rais Samia abakie madarakani hadi mwaka 2035, lakini mwenyewe amekana kutamka maneno hayo. Msingi wa habari hiyo ni kipande cha video iliyokuwa ikizunguka mitandaoni…

Read More

WATENGEZAJI VIPULI VYA MITAMBO EACS WAMPONGEZA RAIS SAMIA KUWEKA MAZINGIRA RAFIKI YA UWEKEZAJI

Mkurugenzi Mtendaji wa Kiwanda cha Kisasa kinachozalisha Vipuli vya Mitambo cha East Africa Conveyor Supplies Limited (EACS), Peter Andrew Kumalilwa akieleza namna wanavyozalisha vipuli vya mitambo (Steel Conveyor Rollers)Meneja wa Kiwanda cha East Africa Conveyor Supplies Limited (EACS) Mhandisi John Kubini (kulia) akionesha vipuli vilivyotengenezwa katika kiwanda cha EACS kilichopo Wilayani Kahama Mkoani Shinyanga Na…

Read More

90,000 wameyakimbia makazi yao katika saa 72 zilizopita, linaonya shirika la wakimbizi – Global Issues

Masaa tu mapema, UN Katibu Mkuu Antonio Guterresalionya ya Baraza la Usalama hiyo “Jehanamu inatoweka huko Lebanon” kando ya mstari wa utengano unaosimamiwa na Umoja wa Mataifa, na ubadilishanaji wa moto zaidi katika “upeo, kina na ukali” kuliko hapo awali. Onyo hilo lilikuja wakati Rais wa Marekani Joe Biden aliwaambia viongozi wa dunia waliokusanyika katika…

Read More

Samia akemea uzushi, akerwa viongozi kuwa bubu

Tunduru. Rais Samia Suluhu Hassan ameonesha kukerwa na tabia ya baadhi ya viongozi wanaoacha taarifa za uzushi zisambae bila kukanusha. Amesema uzushi huo hutokea na kuyahusu maeneo yenye wawakilishi wa Serikali, lakini wanasubiri viongozi wa kitaifa wakanushe. Kauli hiyo inatokana na kusambaa kwenye mitandao ya kijamii taarifa zikionyesha picha ya mtu anayedaiwa kuwa mgonjwa aliyebebwa…

Read More

Mchakato wa kumng’oa Naibu Rais wa Kenya waanza

Nairobi. Mpango wa kumwondoa Naibu Rais, Rigathi Gachagua kupitia kura ya kutokuwa na imani naye unazidi kushika kasi, huku baadhi ya wabunge wakisema wameambatisha saini zao kuunga mkono hoja hiyo. Naibu Kiongozi wa Walio Wengi katika Bunge la Kitaifa, Owen Baya alithibitisha jana jioni kuwa ukusanyaji wa saini za wabunge unaendelea na kwamba hoja hiyo…

Read More