
MAONYESHO YA KUKU KUFANYIKA OKTOBA.
Katibu wa Chama za wadau wa uzalishaji wa vifaranga Tanzania (TCPA), Alpha Ibrahimu akielezea namna maonyesho hayo yatakavyotoa fursa kwa wafugaji wote Tanzania akiwa na Sufia Zuberi Katibu wa TAFM pamoja na Grace Urassa, Mkurugenzi aa Audken Farm. ….Na mwandishi wetu………….. Wadau wa Tansia ya ndege wafugwao waliopo chinu…