Katibu wa Chama za wadau wa uzalishaji wa vifaranga Tanzania (TCPA), Alpha Ibrahimu akielezea namna maonyesho hayo yatakavyotoa fursa
Day: September 27, 2024

Na Humphrey Shao, Shinyanga Tatizo la ndoa za utotoni nchini Tanzania ni moja ya changamoto kubwa inayopelekea kukatika ndoto za mabinti wengi kukatizwa kwa

Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam September 28, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma za Magazeti

Dar es Salaam. Jaji Mstaafu Bernad Luanda amechaguliwa kuwa Rais mpya wa Baraza la Habari Tanzania (MCT), kwa kura 27 kati ya 29 zilizopigwa katika

Dodoma. Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora imewataka watumishi wa umma wanaotaka kuhama kwa lengo la kuwafuata wenza wao wa

Wanaharakati wa kupinga deni kwa muda mrefu wameeleza kuwa kughairi kunaweza kutoa pesa za serikali kwa ajili ya afya na huduma nyingine muhimu. Credit: Getty

Dar es Salaam, Kuna wakati kila kijana alitamani kuwa msanii. Hii inatokea baada ya akili ya kijana kumwonesha mjomba wake akisota na shahada zake bila

Moshi. Wakati mamia ya wananchi wakijitokeza kumzika Adela Mushi (74), mkazi wa Kijiji cha Okaseni, wilayani Moshi anayedaiwa kuuawa na mwanawe wakigombea mali, Paroko wa

Namtumbo. Rais Samia Suluhu Hassan amewapa wanafunzi mbinu ya kufaulu mitihani, akisema majibu ya maswali yote yanapatikana kupitia Teknonojia ya Habari na Mawasiliano (Tehama). Amewataka

Mbeya. Septemba unaweza kuwa mwezi mbaya zaidi mkoani Mbeya kutokana na ajali za barabarani, baada ya watu 12 kufariki dunia na wengine 23 kujeruhiwa katika