Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Day: September 28, 2024

  • Home
  • 2024
  • September
  • 28
Burudani

Ziara ya SADC Live Your Dream maandalizi yafikia pazuri

September 28, 2024 Admin

Wakati siku zikiyoyoma za kuelekea kwenye Ziara ya Barabarani inayodhamiria kuonesha ndoto za wengi zenye mitazamo chanya yenye kuleta utofauti kwenye jamii mengi yatarajiwa huku

Read More
Magazeti

PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO SEPTEMBA 29,2024

September 28, 2024 Admin

Home » PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO SEPTEMBA 29,2024 About the author

Read More
Habari

Abiria watajwa kuchochea ajali za barabarani

September 28, 2024 Admin

Iringa. Jeshi la Polisi nchini limewaonya abiria wanaochochea madereva wa vyombo vya usafiri kuwa na mwendo usio salama, kwani huo ndio mwanzo wa kutokea ajali.

Read More
Habari

Hofu ya gesi kulipuka yatajwa kikwazo matumizi ya nishati safi ya kupikia

September 28, 2024 Admin

Dar es Salaam. Wakati wananchi wakiendelea kuhamasishwa kutumia nishati safi ya kupikia ili kulinda mazingira, imeelezwa kuwa baadhi yao wanaogopa kutumia gesi wakiamini si salama.

Read More
Habari

Zungu: Jamii ijitenge na taarifa zisizo sahihi

September 28, 2024 Admin

Dar es Salaam.  Jamii imeaswa kutofungama na makundi ya watu yenye lengo la kubomoa umoja uliojengeka baina yao kwa kusambaza taarifa zisizo sahihi na kuibua

Read More
Habari

Miili zaidi yaopolewa Ziwa Victoria ajali ya kuzama mtumbwi

September 28, 2024 Admin

Mwanza. Miili mingine minane imeopolewa Ziwa Victoria baada ya mtumbwi wa mizigo uliobeba abiria wanaodaiwa kufikia 31 kuzama Septemba 25, 2024. Awali, Jeshi la Polisi

Read More
Habari

Matumaini mapya ujenzi reli ya kisasa Mtwara-Mbambabay

September 28, 2024 Admin

Songea. Rais Samia Suluhu Hassan amesema Serikali ipo katika mchakato wa kufanikisha ujenzi wa Reli ya Kisasa kutoka Mtwara hadi Mbambabay. Amesema ni kiu ya

Read More
Habari

Chalamila asisitiza amani, ataka wananchi wasidanganyike

September 28, 2024 Admin

Dar es Salaam. Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amewataka wananchi kuimarisha amani akisema haijengwi kwa kumwaga damu bali kwa kuelewana. Amesema

Read More
Habari

RAIS SAMIA AITKA WIZARA YA KILIMO KUANZIA MSIMU UJAO WAKULIMA WANALIPWA MOJA KWA MJOA NA VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA

September 28, 2024 Admin

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan,akizungumza wakati akihutubia wananchi katika mkutano wa hadhara wa kuhitimisha ziara yake mkoani Ruvuma, uliofanyika

Read More
Habari

WAZAZI WATAKIWA KUTOKUACHA KUFANYA MAJUKUMU YA KUSIMAMIA WATOTO

September 28, 2024 Admin

Kamishna wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) Mhe. Amina Talib Ali ametoa wito kwa wazazi kutoacha kufanya majukumu yao ya kuwasimamia

Read More

Posts pagination

1 2 … 7 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.