Month: September 2024

Kiungo wa Manchester City na timu ya taifa ya Hispania, Rodrigo Hernández Cascante maarufu zaidi kama Rodri, amegonga vichwa vya habari baada ya kauli yake

Mhandisi Msimamizi wa Miradi ya Umeme REA Kanda ya Kusini, Mhandisi Deogratius Nagu akiwasilisha taarifa ya utekelezaji wa miradi ya umeme Mkoani Ruvuma kwa Mkuu

Mbeya. Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), Mkoa wa Mbeya imesema inatarajia kukutana na vyama vyote vya siasa mkoani humo kuwakumbusha kuzingatia kanuni

Waziri Lukuvi, atoa mitungi ya gesi kwa vijana Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, (Sera Bunge na Uratibu) Mhe. William Lukuvi (Mb) Isimani

Msimu wa 2023/24, aliwaacha mbali Djigui Diarra ‘Yanga’ na Mohamed Mustapha ‘Azam FC’ akitwaa tuzo ya kipa bora si mwingine ni Ley Matampi ambaye amesisitiza

Mjumbe wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Mhe. Jaji wa Mahakama Kuu Asina Omari akizungumza wakati wa kufungua mkutano wa Wadau

MTENDAJI Mkuu wa Taasisi ya Uongozi Institute, Kadari Singo, amesema wameanza mchakato wa kuandika vitabu viwili, cha Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne, Jakaya

Dar es Salaam. Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (Tantrade) imeorodheshwa kuwania Tuzo za Shirika la Kukuza Biashara Duniani (WTPO) mwaka 2024 kati ya mashirika

Katika ulimwengu wa soka, mbinu za uchezaji zinaendelea kubadilika na kujiimarisha. Makocha wa Yanga na Simba, Miguel Gamondi na Fadlu Davids, wamefanikiwa kuingia katika anga