Nani awatetee wachezaji wa Tanzania!

Kiungo wa Manchester City na timu ya taifa ya Hispania, Rodrigo Hernández Cascante maarufu zaidi kama Rodri, amegonga vichwa vya habari baada ya kauli yake ya kishujaa kwa mamlaka za mpira duniani. Akiwasilisha hisia za wachezaji wengi kama siyo wote wa Ulaya, Rodri amelalamikia utitiri wa mechi unaotokana na kupanuliwa kwa mashindano. “Nadhani wachezaji tunakaribia…

Read More

Waziri Lukuvi, atoa mitungi ya gesi kwa vijana

  Waziri Lukuvi, atoa mitungi ya gesi kwa vijana Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, (Sera Bunge na Uratibu) Mhe. William Lukuvi (Mb) Isimani ameendelea kuunga mkono kampeni ya kutumia nishati safi ya kupikia kwa kutoa majiko ya gesi kwa timu mbalimbali zinazoshiriki ligi ya kata ya mpira wa miguu katika jimbo la Isimani….

Read More

MATAMPI: Huyu Camara amekuja kuongeza vita

Msimu wa 2023/24, aliwaacha mbali Djigui Diarra ‘Yanga’ na Mohamed Mustapha ‘Azam FC’ akitwaa tuzo ya kipa bora si mwingine ni Ley Matampi ambaye amesisitiza kuwa na msimu huu pia anaitaka. Kipa huyo tayari ameruhusu nyavu zake kutikiswa kwenye kila mchezo kati ya mechi sita walizocheza lakini amesema hilo halimpi taabu kwani kwake ni bora…

Read More

Kitabu cha maisha ya JK chaanza kuandikwa

  MTENDAJI Mkuu wa Taasisi ya Uongozi Institute, Kadari Singo, amesema wameanza mchakato wa kuandika vitabu viwili, cha Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne, Jakaya Kikwete na aliyekuwa Waziri Mkuu, Rashid Kawawa. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). Ameyasema hayo leo jijini Dar es Salaam, alipokuwa akitoa salamu kwenye hafla ya uzinduzi wa…

Read More

Tantrade yateuliwa kuwania tuzo za WTPO 2024

Dar es Salaam. Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (Tantrade) imeorodheshwa kuwania Tuzo za Shirika la Kukuza Biashara Duniani (WTPO) mwaka 2024 kati ya mashirika manane ya kitaifa ya kukuza biashara yaliyoteuliwa kuwania tuzo hiyo mwaka huu na Kituo cha Biashara cha Kimataifa (ITC). Tuzo za WTPO 2024 zinaangazia utendaji kazi bora wa mashirika ya…

Read More

Gamondi, Fadlu wanavyoleta mfumo mpya Bongo

Katika ulimwengu wa soka, mbinu za uchezaji zinaendelea kubadilika na kujiimarisha. Makocha wa Yanga na Simba, Miguel Gamondi na Fadlu Davids, wamefanikiwa kuingia katika anga za mbinu zinazotumiwa na makocha wakubwa duniani na kuleta staili hiyo Bongo. Wamejikita katika kutumia mianya iliyopo kati ya mabeki na kati na wa pembeni, maarufu kama “half-spaces.” Huu ni…

Read More